
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu kufuatia vifo vya watu kadhaa vilivyotokea kufuatia tetemeko la ardhi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli
Katika salamu hizo Rais Dkt. Magufuli ameeleza kusikitishwa kwake kufuatia tukio hilo ambapo idadi kubwa ya watu...