KINGAZI BLOG: 09/10/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 10 September 2016

Rais Dkt. Magufuli awalilia waliofariki Kagera.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu kufuatia vifo vya watu kadhaa vilivyotokea kufuatia tetemeko la ardhi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Katika salamu hizo Rais Dkt. Magufuli ameeleza kusikitishwa kwake kufuatia tukio hilo ambapo idadi kubwa ya watu...

Rais Magufuli Kuwa wa Mwisho Kuhamia Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Rais John Magufuli atakuwa wa mwisho kuhamia Dodoma na kupokewa na watumishi wa Serikali. Rais Magufuli akihutubia Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Julai 23 mwaka huu, mkoani hapa alitoa tamko la Serikali kuhamia Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi ulitolewa mwaka 1973. Akizungumza Jumatano wiki hii, katika kipindi cha Safari ya Dodoma kilichoandaliwa na Shirika...

Kifaa cha Kuchemshia Maji Chateketeza Kiwanda, 15 Wafariki Duniua

 WATU 15 wamepoteza maisha nchini Bangladesh baada ya moto mkubwa uliosababishwa na mlipuko wa kifaa cha kuchemsha maji katika kiwanda kimoja. Zaidi ya watu 70 wamejeruhiwa kwenye tukio hilo lililotokea pembeni mwa Mji Mkuu wa nchi hiyo, Dhaka, na inaarifiwa kwamba huenda idadi ya walioaga dunia ikaongezeka zaidi. Polisi wanasema kwamba zaidi ya watu 100 walikuwa wakifanya kazi katika...

Guardiola amzima Mourinho Old Trafford

TIMU ya Manchester City leo imeshinda mabao 2 – 1 dhidi ya Manchester United  katika mchezo mkali uliopigwa Uwanja wa Old Trafford. Mabao yote yalifungwa kipindi cha kwanza, wafungaji kwa upande wa Man City ni De Bruyne aliyetupia dakika ya 15 kisha Iheanacho akaongeza la pili dakika ya 36, bao pekee la wenyeji Man United liliwekwa kimiani na Zlatan Ibrahimovic dakika ya...

Tetemeko kubwa la Ardhi laikumba mikoa ya Mwanza na Kagera..

Mchana wa  leo Mikoa ya Kanda imekumbwa na tetemeko la ardhi ambapo nyumba kadhaa zimebomoka na inadaiwa kuna vifo kadhaa ...

Mtangazaji wa Clouds Tv ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya

Leo Septemba 10, Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya 11, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji 1 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa 1 ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika Halmashauri hizo. Miongoni mwa Wakurugenzi wa Halmashauri walioteuliwa, yumo pia mtangazaji wa kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Tv kinachorushwa kila siku kuanzia jumatatu...

Rosa Robert wa Navy Kenzo: Nyimbo Zangu Natungia Toilet

       KAMA kawa, kama dawa leo Mpaka Home imemleta kwenu mrembo anayefanya Muziki wa Hip Hop ambaye ni zao la Kundi la Navy Kenzo, Rosa Robert ‘Rosa Ree’. Mrembo huyo anaishi Mapinga Wilaya ya Bagamoyo. Anaishi na dada yake na shemeji yake. Twende pamoja chini ili uweze kujua mengi zaidi kumhusu yeye anapokuwa nyumbani: Ni kitu gani hapendi kukifanya na anachokipenda...

UKAWA Watibuana Tena na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson

Mvutano umeibuka kati ya Naibu Spika, Dk Tulia Ackson na wasemaji wa kambi ya upinzani walipokuwa wakisoma maoni yao kuhusu miswada iliyowasilishwa bungeni baada ya kusoma utangulizi uliokuwa nje ya hoja. Katika Bunge la Bajeti lililoisha Juni mwaka huu, upande wa Kambi ya Upinzani Bungeni uliingia kwenye mgogoro na Dk Tulia, hali iliyosababisha wabunge kutoka vyama vinavyounda Ukawa (Umoja wa Katiba...

Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa Amelipiza Kisasi

Kipindi cha Nyuma Linah sanga aliingia Bifu zito baada ya Kuibiwa Bwana na Wema Sepetu ambapo alilalamika sana kwenye vyombo vya habari hasa Radioni... Hivi karibuni Linah na Mpenzi wa Wema Sepetu Idriss Sultan wanaonekana kuwa na ukaribu usio wa kawaida kiasa kwamba inasemekati eti ni wapenzi wanapika na kupakuwa kitendo ambacho kinaonyesha ni kama kulipa kisasi kwa Wema....!! Haya Tuache Movie...

UKAWA Watibuana Tena na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson

Mvutano umeibuka kati ya Naibu Spika, Dk Tulia Ackson na wasemaji wa kambi ya upinzani walipokuwa wakisoma maoni yao kuhusu miswada iliyowasilishwa bungeni baada ya kusoma utangulizi uliokuwa nje ya hoja. Katika Bunge la Bajeti lililoisha Juni mwaka huu, upande wa Kambi ya Upinzani Bungeni uliingia kwenye mgogoro na Dk Tulia, hali iliyosababisha wabunge kutoka vyama vinavyounda Ukawa (Umoja wa Katiba...

TAZAMA PICHA ZA NUSU ALIZOZIACHIA MARIAH CAREY MTANDAONI

46-year-old singer and mother -of-two, Mariah Carey puts her body on display in sexy new photos... V...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya Septemba 10

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us