KINGAZI BLOG: 11/06/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 6 November 2016

HEBU JIIONEE VIDEO HII!!!!! BINADAMU ALIYEFUFUKA KUTOKA CHUMBA CHA MAITI "NDUGU ZAKE WAMEYASEMA HAYA"

HEBU JIONEE VIDEO HII HAPA CHINI BOFYA HAPA KUJUA ZAID...

Zlatan atupia 2, Pogba atupia 1, Man United Yaibamiza Swansea 3-1, Picha 8 ziko hapa

...

MAAAJABU!!! KUTANA NA HUYU MWANAMKE ALIYEAMUA KUKAA KWENYE JENEZA SIKU NZIMNA ILI APATE UZOEFU WA KIFO.

Imetokea Brazil na Mwanamke mwenyewe anaitwa Vera Lucia da Silva na umri wake ni miaka 44 ambapo aliamua kukaa kwenye jeneza siku nzima ili apate uzoefu wa mazingira ya kifo ili siku akifa asiwe mgeni na Jeneza.Vera aliamua kukaa kwenye jeneza huku familia yake ikifanya vitu vinayofanywa kwenye msiba ili aone inakuaje ambapo baada ya kutoka humo alisema ilikua siku nzuri zaidi kwenye maisha yake...

DOWNLOAD VIDEO: Rayvanny (Raymond) – Sugu

WATCH VIDEO DOWNLOAD MP4 How About This ...

New Video & Audio: Ommy Dimpoz ft Alikiba – Kajiandae

 HII HAPA CHINI HEBU ICHEKI NA UTOE COMMENT YAKO HAPO CHINI ...

HEBU ONA JINSI MOTO ULIVYOTEKETEZA GARI HILI JIJINI DAR

Gari aina ya Nissan x-trial ambalo namba zake za usajiri hazikuonekana kwa haraka likiwa limeanza kushika moto upambe wa mbele na kupelekea kuteketea gari lote. tukio hilo limetokea jioni hii kando ya barabara ya Nyerere na usoni kabisa mwa jengo la Wizara ya Maliasili na Utalii, Jijini Dar es salaam, huku baadhi ya wasamalia wakijaribu kuokoa sehemu ya vitu vilivyokuwemo ndani ya gari hilo. hakuna...

PICHAZ JINSI SHOW YA FIESTA 2016 ILIVYOTIKISA DAR JANA

Usiku wa November 5, 2016 ni zamu ya Dar es Salaam ambapo mashabaki wa muziki wamekutana katika viwanja vya Leaders Club kushuhuhudia tamasha la FIESTA 2016 huku burudani zikiendelea kutoka kwenye list ndefu ya wasanii mbalimbali akiwemo,Barnaba, Raymond, Shilole, Jux, Vanessa Mdee, Christian Bella na wengineo Shangwe hizo za Burudani zinaendelea muda huu huko katika viwanja vya Leaders Club Dar...
 

Gallery

Popular Posts

About Us