HEBU JIONEE VIDEO HII HAPA CHINI
BOFYA HAPA KUJUA ZAID...
Sunday, 6 November 2016
HEBU JIIONEE VIDEO HII!!!!! BINADAMU ALIYEFUFUKA KUTOKA CHUMBA CHA MAITI "NDUGU ZAKE WAMEYASEMA HAYA"
Published Under
TOP STORIES
SHARE!
Zlatan atupia 2, Pogba atupia 1, Man United Yaibamiza Swansea 3-1, Picha 8 ziko hapa
Published Under
MICHEZO

...
SHARE!
MAAAJABU!!! KUTANA NA HUYU MWANAMKE ALIYEAMUA KUKAA KWENYE JENEZA SIKU NZIMNA ILI APATE UZOEFU WA KIFO.
Published Under
TOP STORIES

Imetokea Brazil na Mwanamke mwenyewe anaitwa Vera Lucia da Silva na umri wake ni miaka 44 ambapo aliamua kukaa kwenye jeneza siku nzima ili apate uzoefu wa mazingira ya kifo ili siku akifa asiwe mgeni na Jeneza.Vera aliamua kukaa kwenye jeneza huku familia yake ikifanya vitu vinayofanywa kwenye msiba ili aone inakuaje ambapo baada ya kutoka humo alisema ilikua siku nzuri zaidi kwenye maisha yake...
SHARE!
DOWNLOAD VIDEO: Rayvanny (Raymond) – Sugu
Published Under
VIDEO

WATCH VIDEO
DOWNLOAD MP4
How About This
...
SHARE!
New Video & Audio: Ommy Dimpoz ft Alikiba – Kajiandae
Published Under
VIDEO

HII HAPA CHINI HEBU ICHEKI NA UTOE COMMENT YAKO HAPO CHINI
...
SHARE!
HEBU ONA JINSI MOTO ULIVYOTEKETEZA GARI HILI JIJINI DAR
Published Under
TOP STORIES

Gari aina ya Nissan x-trial ambalo namba zake za usajiri hazikuonekana kwa haraka likiwa limeanza kushika moto upambe wa mbele na kupelekea kuteketea gari lote. tukio hilo limetokea jioni hii kando ya barabara ya Nyerere na usoni kabisa mwa jengo la Wizara ya Maliasili na Utalii, Jijini Dar es salaam, huku baadhi ya wasamalia wakijaribu kuokoa sehemu ya vitu vilivyokuwemo ndani ya gari hilo. hakuna...
SHARE!
PICHAZ JINSI SHOW YA FIESTA 2016 ILIVYOTIKISA DAR JANA
Published Under
TOP STORIES
Usiku wa November 5, 2016 ni zamu ya Dar es Salaam ambapo mashabaki wa muziki wamekutana katika viwanja vya Leaders Club kushuhuhudia tamasha la FIESTA 2016 huku burudani zikiendelea kutoka kwenye list ndefu ya wasanii mbalimbali akiwemo,Barnaba, Raymond, Shilole, Jux, Vanessa Mdee, Christian Bella na wengineo
Shangwe hizo za Burudani zinaendelea muda huu huko katika viwanja vya Leaders Club Dar...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)