35-year-old Diane Shima Rwigara who a few days declared her interest to run for the presidency ahead of Rwanda’s election later in the year is the talk of social media especially WhatsApp. According to Social media reports, Diane allegedly has naked pics that are leaking. They say, she did a NUDE photo shoot a few years back for her yet unknown lover and now the effects of the shoot are coming...
Saturday, 6 May 2017
Picha za utupu za mgombea urais Rwanda zavuja mtandaoni
Published Under
KIMATAIFA

Baada ya siku chache Mrembo Diane Shima Rwigara kutoka Rwanda kutangaza kugombea urais nchini humo,hatimae akutwa na skendo ya kuvujisha picha zake za utupu mtandaoni.
Mrembo Diane 35, ambae ni msomi wa Uchumi na mtoto wa aliyekuwa tajiri maarufu nchini Rwanda Asinapol Rwigara, picha zake za utupu zilianza kusambaa mapema jana nchini Rwanda hususani kwenye mitandao ya kijamii kama WhatsApp na Facebook...
SHARE!
BREAKING NEWS:PICHA....Inasikitisha!! WANAFUNZI 20 WAFARIKI KWA AJALI KARATU
Published Under
KITAIFA

Arusha. Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.
Habahari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Arusha Mjini kuelekea katika Mbuga za wanyama.
Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Therezia Mahongo amethibitisha tukio hilo.
Tutaendelea kukujuza zaidi kuhusu taarifa hii.
...
SHARE!
Machangudoa Wajilipua Kwa Rais Magufuli
Published Under
KITAIFA
DAR ES SALAAM: Kama mbwai na iwe mbwai! Ndivyo wanavyosema baadhi ya wasichana wanaojihusisha na biashara haramu ya kujiuza (machangudoa) sehemu mbalimbali jijini Dar wakimaanisha liwalo na liwe baada ya kuamua kujilipua kwa Serikali ya Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ na kurejea barabarani kuendelea kujiuza kama zamani.
Uchunguzi wa gazeti hili wikiendi iliyopita maeneo ya Kinondoni, Buguruni,...
SHARE!
Harmonize- Natamani kuwa na mtoto kama wenzangu wa WCB
Published Under
TOP STORIES

Jina lake limeendelea kutajwa zaidi baada ya kusemekana kwamba yeye ni Baba mtarajiwa kutokana na fununu za ujauzito alionao mpenzi wake ambaye ni Mzungu….. LEO TENA ya CloudsFM imemdaka na kumuuliza maswali haya 10 na akayatolea majibu.
'Natamani kuwa na mtoto kama wenzangu wa WCB lakini kusema ukweli mimi sio baba kijacho kama inavyosemekana'-Harmonize
'Mimi kama meneja wa Harmonize nilikuwa...
SHARE!
Dada wa kazi auawa kwa kisu, DSM
Published Under
KITAIFA

Katika hali isiyo ya kawaida dada wa kazi aliyetambulika kwa jina la Christina Mabuga (37), amekutwa ameuawa ndani ya chumba chake, huko Moshi Baa, Gongo la Mboto, Dar es Salaam kwa kujichoma kisu kifuani.
Jeshi la Polisi katika mkoa wa kipolisi Ilala limethibitisha kutokea kwa tukio hilo, lililofanyika katika nyumba ya mwajiri wa dada huyo wa kazi, ambapo mpaka sasa haijafamika chanzo cha...
SHARE!
Upelelezi wa Yule Binti aliyejitosa baharini umefikia hapa...
Published Under
KITAIFA

Wakati Polisi Zanzibar ikisema imekamilisha kumhoji msichana aliyejitosa Bahari ya Hindi eneo la Chumbe alipokuwa akisafiri na boti ya Kilimanjaro (V) kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar, mtaalamu anasema binti huyo amethirika kisaikolojia ni bora angeachwa apumzike.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Hassan Nassir Ali aliliambia gazeti hili jana kuwa, msichana huyo anayesoma kidato...
SHARE!
Klabu ya Man City yafungiwa Usajili Miaka miwili
Published Under
MICHEZO

KLABU ya Manchester City imefungiwa kwa miaka miwili kusajili wachezaji wa umri chini ya miaka 18 sambamba na kutozwa faini ya Pauni 300,000 na Bodi ya Ligi Kuu England kwa kuvunja sheria ya maendeleo ya vijana.
Uvunjaji huo wa sheria unahusu kufanya mazungumzo na wachezaji wawili wa akademi tofauti kwa ajili ya kuwasajili huku wakiwa wamesajiliwa na klabu nyingine.
Adhabu hiyo ni sawa na...
SHARE!
"Niliamini Sitamuona Tena Roma" -Mke wa Roma
Published Under
TOP STORIES
Nancy Mshana mke wa Roma amefunguka na kusema alikata tamaa juu ya mume wake, ambaye alitekwa na kupotea kwa siku kadhaa bila kufahamika alipokuwa licha ya jitihada zilizokuwa zikifanyika na watu wake wa karibu na vyombo vya usalama bila mafanikio.
Nancy Mshana akimlisha keki mume wake Roma Mkatoliki, katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.
Nancy alisema hayo katika siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa...
SHARE!
NAFASI YA KAZI KATIKA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM: DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE PLC(DSE)
Published Under
TOP STORIES
Information and Communication Technology (ICT) Systems & Security Manager at The Dar es salaam Stock Exchange PLCCAREER OPPORTUNITYThe Dar es Salaam Stock Exchange PLC (DSE) is a company limited by shares and is self-listed in the Dar es Salaam Stock Exchange.The principal activity of the DSE is, among others, to provide a regulatory and infrastructure platform for listing of financial securities and trading of listed securities.In order to enhance its governance and operational efficiency, DSE is looking for a qualified candidate to fill the position ofInformation and Communication Technology (ICT) Systems & Security...
SHARE!
TOP STORIES ON TODAY'S NEWSPAPERS
Published Under
NEWSPAPER

BASHITE Amkanganya Waziri wa Magufuli Bungeni..Habari Vichwa vya Magazeti vya Leo Jumamoi ya Tarehe 6/5/2017..!...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)