KINGAZI BLOG: 01/22/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 22 January 2017

Mwanamke Atupa kichanga chooni baada ya kujifungua kisa kuokoa ndoa

MATUKIO mawili ya mama kutupa vichanga chooni baada ya kujifungua, yametikisa katika wilaya za Sikonge na Shinyanga. Katika tukio la wilayani Sikonge, mama akichukua uamuzi huo ili kulinda ndoa isivunjike, baada ya kupata ujauzito nje ya ndoa. Katika tukio jingine, mtoto wa siku moja mwenye jinsia ya kiume, amekutwa ametupwa kwenye tundu la choo la Kanisa la African Inland Tanzania (AICT) lililopo...

PICHA 16 +Hivi Ndivyo Trump Alivyosherehekea Mara Baada ya Kuapishwa Kuwa Rais wa 45 wa MAREKANI

Rais mpya wa Marekani, Donald Trump aliungana na First Lady Melania Trump kwenye hafla ya kusherehekea kuapishwa kwake, Ijumaa hii.  Aliungana na wanajeshi wa nchi hiyo mjini Washington. Familia yake pamoja na Makamu wake, nayo ilikuwepo. Kwenye hotuba yake fupi kwenye hafla hiyo, Trump ameahidi mabadiliko makubwa kwenye sera za nchi yake. Tazama picha zaidi. ...

Kutana na Mpakistani Mwenye Nguvu Zaidi Duniani,Anakula Mayai 36 ,Kuku 4 na Maziwa Lita 5 Kwa Siku..!!!

TANGU vikatuni vya Hulk, jitu la kutisha na lenye nguvu ijapokuwa la kufikirika vilipoanzishwa mapema katika miaka ya 1960, mashabiki wamekuwa wakishangazwa na ushupavu au nguvu zaidi kuliko ghadhabu zake. Tangu hapo kikatuni hiki kikapata nafasi katika tasnia ya filamu, ambako alizidi kujipatia umaarufu miongoni mwa mashabiki kwa namna alivyo. Kuanzia hapo wale binadamu halisi wenye nguvu na maumbo...

Nyama Yaanza Kutengenezwa Maabara,Inafanana na Nyama ya Ng'ombe Hadi ladha.

DUNIA inabadilika kwa haraka kutokana na maendeleo katika sekta mbalimbali. Teknalojia nayo inakua kwa kasi huku ikitoa mchango mkubwa katika maendeleo ya binadamu. Siku hizi Dunia inashuhudia uvumbuzi wa teknalojia za kisasa katika nyanja za kilimo, afya, nishati na nyingine nyingi. Leo katika safu hii, nitajadili namna ambavyo wanasayansi walivyofanya jitihada za kutengeneza nyama katika...

Breaking News ..!! Rais Magufuli Amteua Anne Kilango Malecela kushika nafasi hii serikalini

Rais John Magufuli amemteua Anne Kilango Malecela kuwa mbunge, huku akiwa mkuu wa mkoa pekee kwenye utawala wa awamu ya tano aliyedumu na wadhifa huo kwa muda mfupi wa siku 29. Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Rais Ikulu, imeeleza kuwa Kilango ataapishwa kwa mujibu wa taratibu za Bunge. Uteuzi huu unakuja siku chache kabla ya Rais Magufuli kumteua aliyekuwa  mbunge wa kuteuliwa ambaye pia...
 

Gallery

Popular Posts

About Us