KINGAZI BLOG: 09/02/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 2 September 2016

Taarifa Ya Jeshi La Ulinzi La Wananchi Wa Tanzania Kufuatia Habari Iliyoandikwa Kwenye Gazeti La Tanzania Daima

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limesikitishwa na taarifa iliyotolewa na gazeti la Tanzania Daima toleo Nambari 4290 la tarehe 01 Septemba 2016, ikihusisha shughuli za Jeshi hilo zinazoendelea katika maadhimisho ya miaka 52 ya kuzaliwa kwake na shughuli za kisiasa. Tunapenda  kuwataarifu wananchi kwamba kazi ya Jeshi ni kulinda na kutetea maslahi ya Taifa na mipaka ya nchi, aidha,...

Orodha ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha tano Awamu ya pili

                              Ofisi ya Rais -TAMISEMI inatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya Pili (Second Selection) kwa mwaka 2016. Jumla ya wanafunzi 3,918 wakiwemo wasichana 2,413 na wavulana 1,505 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya pili kwa ajili ya kujaza...

Waziri Mkuu Majaliwa Akwama Kuhamia Dodoma

SERIKALI Mkoa wa Dodoma imesema Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa atahamia rasmi mkoani humo mara baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge vinavyoanza wiki ijayo, Septemba 6. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana alisema baada ya kufika Dodoma, ataanza kuratibu utaratibu wa wizara mbalimbali kuhamia katika Makao Makuu hayo ya nchi. Pamoja na hayo Jeshi la Polisi limejipanga kuongeza vituo vya Polisi...

Chris Brown – What Would You Do? (AUDIO)

...

IYANYA FT VICTORIA KIMAN - YOGA(AUDIO)

...

Gabon opposition head Jean Ping: Government 'destroyed' opposition headquarters

Gabon's announcement of President Ali Bongo re-election has sparked violent protests across the country. Opposition leader Jean Ping tells DW the violence has led to many casualties. Jean Ping: There is fighting and dead bodies everywhere. We don't know how many have died, but the number is high. We can say for certain that our headquarters were attacked starting at 1 a.m. today. A helicopter...

Selena Gomez Cancels Tour Dates Over Anxiety And Depression

Selena Gomez has cancelled the European leg of her world tour over "anxiety, panic attacks and depression". The singer and actress, 24, revealed last year she had been diagnosed with chronic autoimmune disease lupus which causes the body's immune system to attack healthy tissue. She said she had decided to take time off, almost halfway through her gruelling seven-month Revival tour schedule, to...

Islamic State 'Torture Cells' Discovered By Rebel Fighters in Syria

Footage shows the metal doors of apparent cells, with mattresses, blankets, bowls of food and liquid on the floor. Fighters from the Manbij Military Council say Islamic State militants would have used the jail to torture women who disobeyed them. Pics: APTN Rebel Syrian fighters have reportedly uncovered a prison used by Islamic State militants to torture women. Independent news agency...

Melania Trump Sues Daily Mail And Blogger Over 'Escort' Claim

Donald Trump's wife has filed a libel suit against a blogger and the Daily Mail over reports alleging she worked as an "escort" in the 1990s. Melania Trump's attorney, Charles Harder, said the reports contained several statements "that are 100% false and tremendously damaging to her personal and professional reputation". The lawsuit was filed against Mail Media,...

UFAFANUZI KUHUSU MADAI YA WASIOKOPA KUDAIWA MIKOPO.

Bodi ya Mikopo inapenda kuufahamisha Umma kuwa ‘database’ yake ya wanufaika wa mikopo ina taarifa zote muhimu zilizo sahihi. 1.0 UTANGULIZIKumekuwepo na taarifa zilizotolewa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, hasa gazeti la Jamboleo toleo namba 2541 la 23 Agosti, 2016 kuhusu Bodi ya Mikopo kuwadai wasionufaika na mikopo. Taarifa hizi zinalenga kuleta hofu na mkanganyiko...
 

Gallery

Popular Posts

About Us