KINGAZI BLOG: 10/29/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 29 October 2016

KUTANA NA HUYU MWANAMKE ALIYEAMUA KUJIOA MWENYEWE BAADA YA KUKOSA MCHUMBA

Yasmin Eleby hakupata mchumba wa kumuoa mtu ambaye alitaka awe mume wake atakapofikisha miaka 40--kwa hivyo akafanya kitendo ambacho kimewashangaza wengi, aliamua kujioa mwenyewe. Kwa mujibu wa mtandao wa MySanAntonio.com,Eleby aliahidi kwamba ikiwa hatapata mchumba wakati atakapokuwa ametimiza miaka 40, basi atafanya harusi ya mtu mmoja yaani atajioa ili kusherehekea miaka yake 40. Duru zinasema...

Ujumbe wa Rais Magufuli kwa Watanzani katika siku yake ya kuzaliwa

Leo Oktoba 29 ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambapo alizaliwa Oktoba 29, 1959.    Rais Magufuli alizaliwa mkoani Geita na kitaaluma yeye ni mwalimu aliyebobea katika somo la Chemistry.   Katika siku yake hii ya kuzaliwa, Rais Magufuli amewashukuru Watanzania wote kwa kuendelea kumuombea ambapo amesema kuwa ataendelea kufanyakazi kwa bidii na...

MWANAMKE AUAWA KWA KUPIGWA MAWE, KISA KUCHEPUKA NJE YA NDOA

Ripoti zinasema kuwa takriban watu 200 akiwemo gavana wa eneo hilo walishuhudia watu wakimpiga mawe mwanamke huyo kwenye mji wa Barowe. Mwanamke huyo wa umri wa miaka 30 alikuwa ameshutumiwa kwa kufanya mapenzi nje ya ndoa. Wadadisi wanasema kuwa mauaji hayo ni ishara ya ushawishi wa kundi la Al shabaab hata baada ya kushambuliwa na serikali ya Somalia pamoja na vikosi vya muungano wa Afrika.  Mji...

Download Mp3 : Solidstar Ft. Diamond Platnumz - Money [New Song Audio]

Download Mp3 : Solidstar Ft. Diamond Platnumz - Money [New Song Audio] Enjoy Full Music ...

USIPITWE NA HII!!!! WAUMINI WA KANISA WAKATWA SEHEMU ZAO ZA SIRI ILI WAMUONE MUNGU

Ishu ya imani ni ya mtu binafsi na kila mtu ana uwezo wa kuamini kile anachoona ni sahihi kwa mtazamo wake na mtu anapotokea kumuamini kiongozi wake wa dini kwa asilimia kubwa hutekeleza yale anayofundishwa.Sasa hii ya leo inamuhusu mhubiri maarufu wa dini India Akiwa katika moja ya mafundisho yake ambaye ana wafuasi zaidi ya milioni hamsini duniani. Gurmeet Ram Rahim Singh...

HIZI HAPA HABARI KUU KWENYE MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI OKTOBA 29

...

MPYA:HAYA HAPA MAJINA 63,773 YA WANAFUNZI WOTE (BATCH ZOTE) WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA VYUO VIKUU MBALIMBALI TANZANIA 2016/2017

>>>>BOFYA HAPA KUONA MAJINA YOTE KWA BATCH ZOTE ZILIZOTOLEWA<<<<&l...
 

Gallery

Popular Posts

About Us