
Eeh ila wambea nimewavulia kofia, wiki kadhaa nilisikia makelele kuwa diva katimuliwa clouds ,diva mwenyewe akatoa mchambo wa haja kukanusha,kumbe kweli bibie kitumbua kimeingia mchanga,looh maskini pole diva[IMG]http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/aefeb3dfe6cff563c34f6f285d53abdf.jpg[/IMG]
SOURCE :JF
...