KINGAZI BLOG: 03/16/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 16 March 2017

SHILAWADU!! DIVA WA CLOUDS APIGWA CHINI KIPINDI CHA ALA ZA ROHO NA HUYU NDIYE ALIYEMBADILI...!!!

Eeh ila wambea nimewavulia kofia, wiki kadhaa nilisikia makelele kuwa diva katimuliwa clouds ,diva mwenyewe akatoa mchambo wa haja kukanusha,kumbe kweli bibie kitumbua kimeingia mchanga,looh maskini pole diva[IMG]http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/aefeb3dfe6cff563c34f6f285d53abdf.jpg[/IMG] SOURCE :JF ...

PICHA++Ile Ndege ya wanawake pekee kutoka Malawi tayari imetua Tanzania leo

 Shirika la ndege la Malawi, Malawi Airlines, limefanikiwa kukamilisha safari ya ndege iliyosimamiwa na wanawake pekee. Ndege hiyo imetua katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere mjini Dar es Salaam. Marubani na wasaidizi wa abiria kwenye ndege hiyo wote walikuwa wanawake, na ni mara ya kwanza kwa shirika hilo kuandaa safari kama hiyo. Ndege hiyo ilianza safari yake mjini Blantyre na itatua...

MAKONDA KUSHTAKIWA MAHAKAMANI WIKI IJAYO SAKATA VYETI FEKI.

HATIMAYE Meya wa Ubungo Mh. Boniface Jacob anakusudia kufungua shauri mahakamani la kumtaka mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuonesha vyeti vyake ili kuondoa utata uliojitokeza hivi karibuni dhidi ya kiongozi huyo wa mkoa.Kesi hiyo inatarajiwa kufunguliwa Jumatato ijayo ya tarehe 20/03/2017.Stay tuned.Meya wa Ubungo, Boniphace Jacob amesema Jumanne wiki ijayo atafungua kesi ya jinai dhidi ya Mkuu...

UTATA KIFO CHA BODA BODA,..... IRENE UWOYA ASAKWA NA POLISI.

Ni msala? Nyota wa sinema za Bongo, Irene Uwoya anadaiwa kusakwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni ili kutoa maelezo yake kwa kina kufuatia kifo cha kijana Fahari Colos katika ajali ya gari iliyotokea Masaki jijini hapa. Kwa mujibu wa chanzo kimoja, Uwoya anatakiwa kituoni hapo kwa vile, kifo cha Fahari kina utata wa simulizi kutoka kwa ndugu na kwa askari polisi waliokuwepo kwenye eneo la ajali. Fahari...

Shilawadu!!!! Inasemekana....Penzi la Lulu na Majizzo tayari lime....!!SOMA ZAIDI HAPA👇👇

Lile penzi mubashara kati ya staa wa filamu nchini, Lulu Michael na Mkurugenzi wa E-fm maarufu kama Majizo, linadaiwa kuingia kidudu mtu. Za kunyapia nyapia zinadai eti bibie huyo anatuhumiwa kujihusisha na imani za kishirikina. Hata hivyo chanzo kamili cha wawili hao kuwa katika hali ya sintofahamu bado hakijajulikana ila wawili hao sasa hivi hawakai zizi moja kama zaman...

Tundu Akamatwa Na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma

Mbunge Tundu Lissu amekamatwa na jeshi la polisi asubuhi hii nyumbani kwake na kupelekwa ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma.   ==>Huu ni Ujumbe wa Tundu Lissu alioutumia mtandaoni Wandugu wapendwa. Ninaandika haya nikiwa nyumbani kwangu Dodoma. Najiandaa kwenda mahakamani kwa ajili ya uamuzi wa Mahakama Kuu juu ya kesi ya kutaka kuzuia Uchaguzi wa TLS. Ninawapa taarifa kwamba nimefuatwa...

Makonda azidi kukaliwa kooni Sakata la Vyeti.

Rais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe Spunda amemshauri Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kujitokeza hadharani na kutoa ufafanuzi juu ya utata wa jina lake unaozidi kuvuma mitandaoni Utata huo unadaiwa kutokana na mkuu huyo wa mkoa kutumia cheti cha mtu mwingine cha kidato cha nne kujiendeleza kielimu.  Rungwe ametoa ushauri huo  kupitia kipindi cha maswali...

Wolper Azidi Kufunguka Mambo Juu ya Harmonize,Safari Hii Kayaanika Haya Hadharani Kweupee!!

Jacqueline Wolper amevitaja vitu vitatu ambavyo vimemvutia kuwa kwenye mahusiano na Harmonize. Muigizaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, vitu hivyo ni upole wake, ukarimu pamoja na kuijua dini. “Upole, Ukarimu na anapenda dini na anaijua dini kabisa. Mimi naamini asingekuwa mwanamuziki angekuwa maalimu fulani hivi,” amesema Wolper. Wakati huo huo Harmonize kwa sasa ameachia wimbo...

Kauli ya Vanessa Mdee kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kutoka 'Selo'

Vanessa Mdee amezungumza kwa mara ya kwanza tangu atoke rumande Jumatatu hii baada ya kushikililiwa na polisi jijini Dar es Salaam kuanza Jumatano ya wiki iliyopita. Muimbaji huyo wa Cash Madame amewashukuru wote waliompa pole wakati alipokuwa ameshikiliwa na kudai kuwa ataachia wimbo mpya wiki hii. “I love you all sooo much 😚,” ameandika kwenye Twitter. “It is by his Grace alone 💜 Utukufu kwa...

Maneno ya Paul Makonda Baada ya Kutimiza Mwaka Mmoja Kama Mkuu wa Mkoa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda leo Machi 15, 2017 anatimiza mwaka mmoja tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Machi 13, 2016 na kuapishwa Machi 15, 2016. ==>Haya ni Baadhi ya Maneno Yake 1.Namshukuru Rais Magufuli kwa kusikiliza kauli ya Mungu na kunikabidhi mamlaka ktk mkoa huu wa Dar. 2.Navishukuru sana Vyombo vya...

HABARI KUU KATIKA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI YA TAR 16 / 3 / 2017

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us