TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA WA WATANZANIA
RAISI WA SERIKALI YA WANAFUNZI ST. JOSEPH AFUKUZWA CHUO KWA KUTETEA HAKI ZA WANAFUNZI WENZAKE
Katika hali ya kusikitisha sana na yenye kuumiza moyo kijana Bachubila
Haruna ambae ni Raisi wa serikali ya wanafunzi ya Chuo Cha Mtakatifu
Yosefu kampasi ya luguruni amejikuta akipoteza haki yake ya msingi ya
kupata elimu katika taifa lake kwasababu...
Saturday, 20 May 2017
BREAKING NEWS : PICHA Kikosi Maalumu cha Makomando US, waanza mazoezi ya Kuvamia na Kuharibu Silaha za Maangamizi NK
Published Under
TOP STORIES

Makomando wa kimarekani Wamemaliza DRILL ya Zoezi maalumu liitwalo "Warrior Strike 7" huko South Korea katika mji wa uijeongbu kambini kwao Stanley.....Zoezi hilo limehushisha meli za kivita za korea kusini, na mazoezi ya kupambana ufukweni.REjereoRTMy takeWakuu, tusiilaumu US, kwa wanachokifanya duniani. Tukumbuke kabla ya WW2. Wamarekani walijitenga na mambo ya kidunia na kufanya yao. Sasa ni...
SHARE!
BASHITE Avutiwa Pumzi...Hbari Vichwa vya Magazeti y Leo Jumamosi 20/5/2017.
Published Under
KITAIFA

...
SHARE!
UTATA Waibuka Wakili Aliyefia Sebuleni Dar..Maiti Yake Yakutwa na Damu Kichwani.
Published Under
KITAIFA

WAKILI wa kujitegemea, Noel Ndalu, amekutwa amefariki sebuleni nyumbani kwake Sinza jijini Dar es salaam, kifo ambacho kimeacha maswali kadhaa kutokana na mazingira yake.
Jana, Nipashe ilifika nyumbani kwa wakili huyo aliyekuwa akiishi Sinza kwa Remmy wilayani Kinondoni na kupata simulizi zenye kuibua maswali juu ya kifo hicho.
Baadhi ya maswali hayo ni pamoja na sababu za kifo chake kilichoonekena...
SHARE!
POLISI Waua Majambazi Matatu Katika Vita ya Majibizano ya Risasi Iliyoshangaza Watu Mwanza..!!
Published Under
KITAIFA

WATU watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa kwa risasi jijini Mwanza jana katika kile kinachoelezwa kuwa ni matokeo ya vita kali ya kurushiana risasi baina ya watuhumiwa hao na askari wa Jeshi la Polisi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi, alisema tukio hilo limetokea katika eneo la viwanja vya ST. Mary’s Mtaa wa Ndofe wilaya ya Nyamagana, ambako polisi walikuwa wameweka mtego...
SHARE!
UTATA Waibuka Wakili Aliyefia Sebuleni Dar..Maiti Yake Yakutwa na Damu Kichwani.
Published Under
KITAIFA

WAKILI wa kujitegemea, Noel Ndalu, amekutwa amefariki sebuleni nyumbani kwake Sinza jijini Dar es salaam, kifo ambacho kimeacha maswali kadhaa kutokana na mazingira yake.
Jana, Nipashe ilifika nyumbani kwa wakili huyo aliyekuwa akiishi Sinza kwa Remmy wilayani Kinondoni na kupata simulizi zenye kuibua maswali juu ya kifo hicho.
Baadhi ya maswali hayo ni pamoja na sababu za kifo chake kilichoonekena...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)