KINGAZI BLOG: 05/20/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 20 May 2017

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA WA WATANZANIA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA WA WATANZANIA RAISI WA SERIKALI YA WANAFUNZI ST. JOSEPH AFUKUZWA CHUO KWA KUTETEA HAKI ZA WANAFUNZI WENZAKE Katika hali ya kusikitisha sana na yenye kuumiza moyo kijana Bachubila Haruna ambae ni Raisi wa serikali ya wanafunzi ya Chuo Cha Mtakatifu Yosefu kampasi ya luguruni amejikuta akipoteza haki yake ya msingi ya kupata elimu katika taifa lake kwasababu...

BREAKING NEWS : PICHA Kikosi Maalumu cha Makomando US, waanza mazoezi ya Kuvamia na Kuharibu Silaha za Maangamizi NK

Makomando wa kimarekani Wamemaliza DRILL ya Zoezi maalumu liitwalo "Warrior Strike 7" huko South Korea katika mji wa uijeongbu kambini kwao Stanley.....Zoezi hilo limehushisha meli za kivita za korea kusini, na mazoezi ya kupambana ufukweni.REjereoRTMy takeWakuu, tusiilaumu US, kwa wanachokifanya duniani. Tukumbuke kabla ya WW2. Wamarekani walijitenga na mambo ya kidunia na kufanya yao. Sasa ni...

BASHITE Avutiwa Pumzi...Hbari Vichwa vya Magazeti y Leo Jumamosi 20/5/2017.

...

UTATA Waibuka Wakili Aliyefia Sebuleni Dar..Maiti Yake Yakutwa na Damu Kichwani.

WAKILI wa kujitegemea, Noel Ndalu, amekutwa amefariki sebuleni nyumbani kwake Sinza jijini Dar es salaam, kifo ambacho kimeacha maswali kadhaa kutokana na mazingira yake. Jana, Nipashe ilifika nyumbani kwa wakili huyo aliyekuwa akiishi Sinza kwa Remmy wilayani Kinondoni na kupata simulizi zenye kuibua maswali juu ya kifo hicho. Baadhi ya maswali hayo ni pamoja na sababu za kifo chake kilichoonekena...

POLISI Waua Majambazi Matatu Katika Vita ya Majibizano ya Risasi Iliyoshangaza Watu Mwanza..!!

WATU watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa kwa risasi jijini Mwanza jana katika kile kinachoelezwa kuwa ni matokeo ya vita kali ya kurushiana risasi baina ya watuhumiwa hao na askari wa Jeshi la Polisi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi, alisema tukio hilo limetokea katika eneo la viwanja vya ST. Mary’s Mtaa wa Ndofe wilaya ya Nyamagana, ambako polisi walikuwa wameweka mtego...

UTATA Waibuka Wakili Aliyefia Sebuleni Dar..Maiti Yake Yakutwa na Damu Kichwani.

WAKILI wa kujitegemea, Noel Ndalu, amekutwa amefariki sebuleni nyumbani kwake Sinza jijini Dar es salaam, kifo ambacho kimeacha maswali kadhaa kutokana na mazingira yake. Jana, Nipashe ilifika nyumbani kwa wakili huyo aliyekuwa akiishi Sinza kwa Remmy wilayani Kinondoni na kupata simulizi zenye kuibua maswali juu ya kifo hicho. Baadhi ya maswali hayo ni pamoja na sababu za kifo chake kilichoonekena...
 

Gallery

Popular Posts

About Us