KINGAZI BLOG: 12/01/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Thursday, 1 December 2016

Hivi Wajua, kunywa maji mengi ni janga kwa afya yako?

KUISHIWA maji mwilini ni adui wa siku zote wa mwanariadha. Dhana hiyo iko mara zote akilini kwa mshiriki wa mashindano ya mbio ndefu za Marathon. Lakini, unafahamu kwamba kwa upande wa pili wa shilingi ni kwamba, mtu akinywa maji mengi kupita kiasi nayo ina athari zake na hasa tendo hilo linapokosa usimamizi sahihi? Hivyo katika hilo, hupaswi kuwa kama wanariadha wa Marathon, ambao wanaishia kuwa...

Mganga wa Kienyeji Auawa Akitaka Kumbaka Mgonjwa

Mganga wa kienyeji aliyejulikana kwa jina la Kashinje Kashinje (55), mkazi wa kijiji cha Singita kilichopo Kata ya Usanda wilayani Shinyanga ameuawa kwa kupigwa na wananchi ikielezwa alijaribu kutaka kumbaka mteja wake. Mteja huyo ambaye ni mwanamke mwenye umri wa miaka 20 (jina linahifadhiwa) alikwenda kutibiwa kwa lengo la kupata mtoto. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga, Muliro...

SCORPION Akana mashtaka 6, Akiri mashtaka 3 Ikiwemo Kupata Mafunzo ya Kareti

MSHITAKIWA katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Salum Njwete (34) ‘Scorpion’, amekiri kupata mafunzo ya kareti kutoka chuo cha mafunzo cha Ifakara aliyoyafanya mwaka 1989 hadi 1995. Aidha, upande wa mashitaka katika kesi hiyo umemuongezea mashitaka ya shambulio kupitia kifungu namba 234 cha Sheria ya Makosa ya Jinai ambacho kinaruhusu kuongeza au kubadilisha mashitaka. Wakili wa Serikali,...
 

Gallery

Popular Posts

About Us