KINGAZI BLOG: 11/02/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 2 November 2016

HII HAPA JOINING INSTRUCTION YA CHUO KUKUU TEOFILO KISANJI MBEYA (TEKU)

BONYEZA HAPA KUONA NA KUDOWNLOAD...

MPYA:HAYA HAPA BATCH YA TATU YA MAJINA MAPYA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO SUA-CONTINUING 2016/2017

KUONA MAJINA YOTE  <<BONYEZA HAPA>>...

SERIKALI YAVIPA VYUO VIKUU SIKU 14 TU KUWASILISHA MATOKEO YA MTIHANI.

Serikali yavipa siku mbili vyuo vikuu 14 kuwasilisha matokeo ya mtihani Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Maimuna Tarish imevitaka vyuo vikuu 14 ambavyo havijatuma matokeo ya wanafunzi wao ya mwaka uliopita kwa Bodi ya Mikopo kutuma mara moja ili kuwapatia mikopo kwa walio katika utaratibu wa kupata mkopo wa serikali. Taarifa ambayo imetolewa na Tarish imevipa...

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA-OUT BATCH 3&4 VIA TCU & NACTE 2016/2017

KUYAONA MAJINA YOTE >>BONYEZA HAPA<<...

MPYA: MAELEZO UJAZAJI WA DODOSO NDANI YA SIKU 30 KWA WANUFAIKA WA MIKOPO ELIMU YA JUU (KWA WANAFUNZI WANAOENDELEA.

Wanafunzi wanufaika wa mkopo elimu ya juu. "hasa wale wanaoendelea na masomo", kuanzia jumatatu ijayo,tarehe 31/10/2016 kila  mnufaika anapaswa  kuingia kwenye akaunti yake binafsi ya HESLB  ili ajazeDODOSO lililoboreshwa zaidi kwa lengo la  kuwa na taarifa  sahihi zaidi zinazoweza kuwa VERIFIED na vyombovya serikali kuhusu hali ya  kifedha ya mnufaika. Baada...

MAJINA MAPYA YA WALIOPANGIWA MKOPO CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)

UDOM LATEST LOAN ALLOCATION – FRESHERS....pd...

COLLABO NYINGINE NDANI YA WCB KATI YA DIAMOND PLATNUMZ NA RICH MAVOKO KUFANYIKA HIVI KARIBUNI.

Kuna kila dalili ya kufanyika collabo nyingine ambayo haijawahi tokea ndani ya Crew ya WCB  kati ya Boss wa label hiyo kubwa ya muziki hapa nchini na nje ya nchi,  Nassib Abdul "DIAMOND PLATNUMZ"  na Rich Mavoko ambaye ni moja kati ya wasanii wakubwa waliojiunga na  label hiyo. Diamond platnumz ameshafanya kolabo na baadhi ya wasanii ndani ya label hiyo akiwemo Harmonize...

Idadi ya watumishi hewa nchini yafikia 19,629 hadi Oktoba 25, 2016.

Watumishi Wa Umma 1,663 Wachukuliwa Hatua Za Kinidhamu Kwa Kusababisha Wafanyakazi Hewa Watumishi wa Umma 1,663 kutoka Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa, na Mamlaka za Serikali za Mitaa wamechukuliwa hatua za kinidhamu baada ya kubainika kusababisha watumishi hewa 19,629 hadi Oktoba 25, 2016. Waziri ya Nchi, Ofisi ya Rais, anayeshughulikia Utumishi na Utawala...

Kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke aliye poteza hisia mahusiano

Tendo la ndoa ni tendo lenye ladha ya aina yake na furaha isiyo elezeka, lakini kuna watu ambao hufanya tendo kwa hali ya kulazimisha sababu yumo ndani ya ndoa. mana huwa hasikii hisia wala tamaa ya tendo. ambapo huweza kusababisha ndoa kuwa chungu ana usalitiwaji wa ndoa. SABABU KIMWILI 1.) upungufu wa damu na madini ya chuma kutokana na kupata hedhi 2.) kutumia madawa ya kulevya 3.) magonjwa makubwa...

Habari kuu Zilizopo kwenye Magazeti ya Leo Jumatano ya Novemba 2

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us