KINGAZI BLOG: 09/27/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 27 September 2016

PANYA ROAD WAIBUKA UPYA NA KUTESA WANANCHI WA JIJI LA DAR ES SALAAM

KUNDI la uhalifu la watoto wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 25 maarufu kama panya road linatishia usalama wa wananchi na mali zao maeneo ya Moshi Baa na vitongoji vingine katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Kufuatia kukithiri kwa vitendo hivyo katika kipindi kisichopungua wiki mbili tayari watoto watatu walikuwa wakidaiwa kuhusika na kundi hilo wameuawa na wananchi wenye hasira kali. Akizungumza...

Ndege Ya Pili Ya Bombardier Q-400 Yawasili Jijini Dar Es Salaam Leo, Rais Magufuli Kuzizindua Ndege Kesho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kesho anatarajiwa kuzindua ndege mbili mpya aina ya Bombardier Q 400 zilizonunuliwa na Serikali hivi karibuni. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Uchukuzi) Dkt. Leornard Chamuriho amesema maandalizi yote kwa ajili ya uzinduzi wa ndege hizo yamekamilika na uzinduzi huo utafanyika katika Uwanja wa Ndege...

BOFYA HAPA DOWNLOAD HAPA JOINING INSTRUCTIONS ZA WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA UALIMU CHETI NA DIPLOMA 2016/2017

      Files:  VIKINDU TC NEW (0 votes) Select  CreatedSizeDownloads2016-09-26644.23 KB15  SUMBAWANGA TC NEW (0 votes) Select  CreatedSizeDownloads2016-09-26506.79 KB4  SINGACHINI TC NEW (0 votes) Select  CreatedSizeDownloads2016-09-2681.02 KB2  PATANDI TC NEW (0...
 

Gallery

Popular Posts

About Us