KINGAZI BLOG: 01/06/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 6 January 2017

Madhara ya Kiafya Kuhusu Wanaojichora Tattoo

Tafiti nyingi za kitabibu pia zinaonesha kwamba, wino au rangi za tattoo zinaweza kusababisha uambukizo wa bakteria aina ya Mycobacterium cholonae. Bakteria hawa wanaweza kusababisha magonjwa ya ngozi na nyama za mwili, matatizo ya njia ya mkojo, mfumo wa kupumua, magonjwa ya uambukizo kwenye mifupa na nyama za moyo. Michoro hiyo pia huweza kusababisha homa ya uti wa mgongo na tatizo la macho. Vilevile,...

Ajinyonga kwa kunyimwa na mkewe samaki mbichi

MKAZI mmoja wa kijiji cha Kalundi kilichopo kata ya Kipande wilayani Nkasi, Vedast Kazumba (51) amejiua kwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuwa alighadhabika, baada ya mkewe kumnyima kitoweo cha samaki mbichi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, George Kyando alithibitisha tukio hilo. Alisema ni la usiku wa mkesha wa Mwaka Mpya na kwamba Kazumba alifikia uamuzi huo mgumu kwa kujinyonga akitumia kamba...
 

Gallery

Popular Posts

About Us