KINGAZI BLOG: 03/28/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 28 March 2017

Baada ya Rais Magufuli Kuamuru Wimbo wa Wapo wa Nay wa Mitego Uchezwe Redioni,Basata nao Wameibuka na Haya.

Baraza la Sanaa Taifa ‘BATASA’ limerudi tena na kuufungilia wimbo ‘Wapo’ wa Nay wa Mitego kwa madai waliufungia ili kupisha uchunguzi wa kipolisi upite baada ya jeshi hilo kumshikilia rapa huyo kwa siku mbili kutokana na wimbo huyo. Awali baraza hilo lilitangaza kuufungia wimbo huo kwa madai hauna maadili kabla ya Rais Magufuli kutoa tamko la wimbo huo kuendelea kupigwa kwa kuwa hauna tatizo lolote. Baraza...

Pichaz 4 Nape Alivyokabidhi Ofisi Kwa Mwakyembe leo

Aliyekuwa Waziri wa Habari Nape  Nnauye amemkabidhi ramsi ofisi Waziri mpya wa Habari, Dkt Harrison George Mwakyembe. ...

Kumbe Aliyemtishia Nape kwa bastola sio polisi Waziri Mwigulu anena!!

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema mtu aliyemtishia kwa bastola aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye si askari wa Jeshi la Polisi, lakini ameshapatikana na atashughulikiwa kwa mujibu wa utaratibu wa ulinzi na usalama. Mwigulu alisema hayo baada ya kufungua mkutano wa kazi wa mwaka wa maofisa waandamizi wa polisi, makamanda wa mikoa na wakuu wa vikosi...

Kali ya Mwaka hii!!!...Aliyemfunga mbwa wake mdomo atupwa jela miaka 5

Mwanamume mmoja raia wa Marekani ambaye alifunga mbwa wake kwenye mdomo, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela. William Dodson, mwenye umri wa miaka 43, anasema alimfunga mbwa huyo mdomoni kwa sababu alibweka sana. Ililazimu mbwa huyo kufanyiwa upasuaji mara kadha baada ya kupoteza sehemu ya ulimi wake. Siku moja baada ya hukumu hiyo kutolewa, William Dodson pia alihukumiwa kifungo cha miaka...

Post ya kwanza ya Soudy Brown baada ya Tukio la Uvamizi wa Makonda Clouds.

MTANGAZAJI na mwanachama wa Shirika la Wambeya Duniani ‘Shilawadu’, Soudy Brown leo ameweka picha ya kwanza mtandaoni baada ya kutoka likizo iliyosababishwa na sekeseke la kuvamiwa kwa kituo chao cha kurushia matangazo, Clouds Televisheni na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Jamaa huyo ameweka picha ya aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa na Utamaduni, Nape Nnauye na haijafahamika ni kwanini...

Nay wa Mitego kukutana na JPM Ikulu

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Emmanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego ameitwa Ikulu jioni hii kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Rais John Magufuli. Nay amepata mwaliko huo ikiwa ni sasa chache baada ya kuachiwa huru na Jeshi la Polisi lililokuwa likimshikilia tangu jana. Katika mahojiano yake na kituo cha Televisheni cha Azam Two,  Nay alikiri kupata mwaliko huo na kueleza kuwa ataitumia...

Bunge kumng'oa Makonda...Habari katika Magazeti ya leo tar 28 march 2017.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us