KINGAZI BLOG: 10/24/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 24 October 2016

Hivi hapa Vyakula muhimu Vinavyoongeza haraka Hamu na Nguvu ya Kufanya Tendo la Ndoa

Tatizo la uwezo wa kufanya tendo la ndoa linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Takwimu za kitafiti zinaonyesha kuwa karibu ndoa 4 kati ya 10 zenye umri wa miaka 3 na kuendelea zinakabiliana na tatizo hili. Aidha wanaume 6 kati ya 10 wanatajwa kulalamikia upungufu wa nguvu za kiume. Pamoja na matatizo mengine kutajwa kuchangia upungufu wa nguvu za kiume na kushuka kwa msisimko wa...

MANENO YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUKOSA TUZO MTV MAMA’S

Mambo hayakuwa mazuri kwa watanzania baada ya kutofanikiwa kupata tuzo hata moja kwa wasanii wote ambao walikuwa wakiliwakilisha taifa katika tuzo za MTV Africa Music Awards (MAMA). Diamond Platnumz ni mmoja wa wasanii kutoka Tanzania ambao walikuwa wakiwania tuzo hizo na alikuwa na haya ya kuwaambia mashabiki zake kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya utoaji wa tuzo hizo kumalizika. “Shukran...

KUTANA NA HUYU MWANAMKE MNENE ZAIDI DUNIANI. .ANA UZITO WA KILO 500

Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25 na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500 zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula. Ripoti ya madaktari inaonesha kuwa mwanamke huyu anasumbuliwa na maambukizi ya bakteria wanaoshambulia ukuaji wa mwili. Akiwa na miaka 11...

HABARI KUU KWENYE MAGAZETI YA LEO JUMATATU YA TAR 24 OKTOBA.

...

Shirika lingine la Ndege duniani lapiga marufuku Galaxy Note 7 Shirika la ndege la Uturuki la Turkish Airlines lapiga marufuku kwa wasafiri wake kutumia Galaxy Note 7 katika ndege zake.

Shirika la ndege la Ujerumani la Lufthansa kwa upande wake lilipiga marufuku Jumanne  matumizi ya smartphones Galaxy Note 7 za Samsung katika ndege zake. Shirika la ndege la Uturuki la Turkish Airlines limefahamisha pia kwa upande wake Ijumaa kuwa linapiga marufuku Galaxy Note 7 katika ndege zake kwa kuhofia ya kwamba zinaweza kusababisha moto kuzuka. Hatuo hiyo imechukuliwa kutokana na hitilafu...

DIAMOND PLATNUMZ KUACHIA NGOMA YAKE MPYA NA LADY JAY DEE

Baada ya kilio cha muda mrefu kutoka kwa mashabiki waliotamani kuona Diamond Platnumz na mwanadada Lady Jay Dee wakifanya kazi pamoja, wakali hao wa bongo fleva huenda wakaja na 'collabo' ya hatari, siku chache zijazo.Hatua hiyo inatokana na msanii Diamond kufunguka kuwa hakuna sababu yoyote inayowakwamisha kufanya kazi ya pamoja, isipokuwa muda na ratiba zao kubana. Dangote ametoa kauli hiyo hivi...
 

Gallery

Popular Posts

About Us