KINGAZI BLOG: 10/10/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 10 October 2016

HAYA HAPA MAJINA YA MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO CHUO KIKUU MUM 2016/2017

Hatimaye chuo cha Muslim University of Morogoro MUM kimetangaza majina ya wanafunzi walioomba mkopo kwa ajili ya masom-o yao chuoni hapo,kwa awamu ya kwanza. Nimekuwekea hapa list kamili ya wanafunzi waliochaguliwa kupata mkopo chuo kikuu MUM 2016/2017.    KUONA MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO CHUO KIKUU MUM 2016/2017 >>BONYEZA HAPA<<...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Octoba 10

...

NECTA yatoa ratiba ya ukaguzi wa vyeti mkoa kwa mkoa

Hatua ya Baraza la Mitihani nchini (Necta) kutoa ratiba ya kufanya uhakiki wa vyeti vya kidato cha nne, sita na ualimu kwa watumishi wote wa umma sasa ni wazi imezidi kupandisha joto kwa vigogo na watumishi mbalimbali ambao hawana sifa za kielimu kushika nafasi walizo nazo. Katika taarifa yake ya sasa Baraza la Mitihani nchini, limetangaza kuwafuata katika maeneo yao ya kazi watumishi wote...

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Yatupiwa Lawama Kwa Kuchelewa Kutoa Majina ya Wanufaika wa Mikopo

Wakati vyuo vikuu vikikaribia kufunguliwa, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imelaumiwa kwa kuchelewa kutoa majina ya wanufaika huku yenyewe ikisema itahakikisha majina yanatolewa sanjali na tarehe za vyuo kufunguliwa.  Pia, HESLB imesema miongoni mwa vipaumbele vitakavyozingatiwa kwenye utoaji wa mikopo katika mwaka wa masomo 2016/2017 ni kwa wanafunzi wenye mahitaji...

Waliotimuliwa Udom wakibeba chuo Moro

Morogoro. Baada ya kukaa miaka zaidi ya 50 bila ukarabati, hatimaye Chuo cha Ualimu Morogoro kimeanza kukarabatiwa ili kipokee wanafunzi 1,138 walioondolea Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom). Ukarabati huo unaofanywa chini ya ufadhili wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi utagharimu Sh700 milioni. Mkuu wa chuo hicho, Augustine Sahili amesema huo ni mpango wa Serikali unaohusisha vyuo vyote vya...

NECTA Kupigilia Panga la Mwisho Kwa Wenye Vyeti FEKI Kuanzia Kesho.....Watumishi Wote Kufuatwa Vituoni Kukaguliwa

Hatua ya Baraza la Mitihani nchini (Necta) kutoa ratiba ya kufanya uhakiki wa vyeti vya kidato cha nne, sita na ualimu kwa watumishi wote wa umma sasa ni wazi imezidi kupandisha joto kwa vigogo na watumishi mbalimbali ambao hawana sifa za kielimu kushika nafasi walizo nazo. Katika taarifa yake ya sasa Baraza la Mitihani nchini, limetangaza kuwafuata katika maeneo yao ya kazi watumishi wote walioko...

Taarifa kutoka Ikulu: Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Mhandisi James Mitayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Mhandisi James Mitayakingi Kilaba umeanza jana Jumamosi tarehe 08 Oktoba, 2016. Kabla ya uteuzi huo, Mhandisi James Mitayakingi Kilaba...

WAZIRI NDALICHAKO AZIFUTA SHULE NYINGINE 12.

Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imezifuta shule nyingine za awali na msingi nchini ambazo hazijasajiliwa zaidi ya 10 kuanzia Desemba mwaka jana. Aidha, shule tano kati ya 40 zilizokuwa zimefutiwa usajili zimekamilisha taratibu na kurejeshewa usajili wake. Kaimu Mkurugenzi wa Usajili wa Shule katika wizara hiyo, Khadija Mcheka amesema mpaka sasa bado wanaendelea na ukaguzi...
 

Gallery

Popular Posts

About Us