KINGAZI BLOG: 03/27/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 27 March 2017

Picha na Kauli ya Nay wa Mitego baada ya kuachiwa na polisi

Mwanamuziki Nay wa Mitego ameachiwa huru kutoka katika Kituo cha Polisi cha Kati Dar es Salaam ikiwa ni saa chache tangu Rais Dkt Magufuli aliporuhusu kuchezwa redioni kwa wimbo wake uliokuwa umefungiwa na BASATA. Agizo hilo la Rais Magufuli limetolewa leo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Mwakyembe alipokuwa akizungumza na waandishi habari mkoani Dodoma. Waziri Mwakyembe alisema...

Kauli ya Nape  Baada ya Rais Magufuli Kuruhusu Wimbo wa Nay wa Mitego!!

ALIYEKUWA Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye kupitia ukurasa wake wa twitter amechapisha ujumbe wenye kutaka itumike busara na siyo nguvu katika kufanya maamuzi. Aidha ujumbe huo ulikwenda sambamba na picha ya msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Nape ameonyesha kuguswa baada ya kukamatwa kwa mwanamuziki huyo na alipoachiwa huru amepongeza uamuzi...

Hii ni Kali ya mwaka!!!!PICHAZZZ.... Eti hawa ndio mastaa 10 wa kike Wenye Makalio makubwa zaidi kutoka Afrika.

10. Tracy Obonna (Nigerian) A blend of hips, booty, pretty face and business-savvy, she’s got it all. Tracy Obonna is not just a beautiful model, she holds a Masters degree in Business and Finance. The US-based voluptuous super model is CEO of Sediore Cosmetics.   9. Omotola Jalade Ekeinde (Nigerian)   Nigerian actress Omotola loves flaunting her famous curves and legs. Reason...

Serikali Yaagiza Nay wa Mitego Aachiwe Huru na Wimbo Wake Uendelee Kuchezwa Redion

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego ambaye alikuwa akishikiliwa na Jeshi hilo. Waziri Mwakyembe ameishauri pia BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo wa ‘WAPO’ na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine. Akiongea na Wandishi wa Habari Dodoma, Dk. Mwakyembe amesema hata Rais Magufuli amefurahishwa...

Bakwata Yatoa Tamko Kuhusu Masheikh Walioenda Kusali Kanisani kwa Gwajima Jumapili!!!

...

Gazeti la kenya lachapisha Katuni inayomdhihaki JPM .

Gazeti moja la nchini Kenya linalojulikana kama The Star Kenya limemchora Rais Magufuli katuni na kumuita dikteta kupitia ukurasa wake wa facebook Kingazi blog na wadau wengine wa habari  Tunalaani kwa Kitendo hiki Ambacho Hakimtendei Haki Mhe Rais Maguful...

"Magufuli Akishinda 2020 Najiuzulu Siasa" -Freeman Mbowe

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema Rais Dk. John Magufuli atakuwa kiongozi wa kwanza nchini kuvunja rekodi ya kutawala kwa kipindi cha miaka mitano badala ya 10 kama walivyofanya watangulizi wake. Mbowe aliyasema hayo jana wakati akizindua tawi la wakereketwa wa chama hicho lililopo eneo la Mpakani, Kata ya Kwakifua, Wilaya ya Muheza mkoani Tanga. Katika...

Watumishi Wa umma kutopanda Madaraja bila Kupitia Kozi, Mafunzo Maalum.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi Angellah Kairuki akiwa kwenye kituo cha Utumishi Mkoani Mbeya. Amesisitiza kwamba, utaratibu huo utaanza mapema iwezekanavyo na kuwataka Watumishi wa Umma kufuata utaratibu utakaoainishwa. Chanzo: ITV Jamii forum...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo jumatatu ya tar 27 March 2017.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us