KINGAZI BLOG: 01/20/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 20 January 2017

SHILAWADU!!!!Dimpoz afunguka skendo ya kuwekwa kinyumba na jimama mitaa ya mbezi

Ommy Dimpoz Msanii wa muziki wa bongo fleva Ommy Dimpoz amekanusha tetesi zilizozagaa kwamba amewekwa ndani kimapenzi maeneo ya mbezi  na jimama ambalo lina mahusiano naye kumapenzi. Akiongea kupitia eNEWZ ya EATV, Ommy amesema kwa sasa anaishi Mikocheni Dar es Salaam na hajawahi kuwekwa ndani na mwanamke yeyote kwa kuwa anasema mpenzi wake wa sasa ni mchina na hajawahi kuwa na mahusiano...

Sallam atangaza ujio wa tamasha la Diamonds Are Forever 2017

Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK aka ‘Fundi Mitambo’ ametangaza ujio mpya wa tamasha kubwa la Diamonds Are Forever 2017 ambapo safari hii litafanyikia katika uwanja wa Taifa. Muimbaji huyo alifanya tamasha hilo kwa mara ya kwanza nchini mwaka 2012 katika ukumbi wa Mlimani City show ambayo ilihudhuriwa na watu wengi kwa kiingilio cha Tsh 50,000. Sallam akizungumza live na mashabiki katika mtandao...

Pitia Hapa Ratiba ya Tukio Zima la Kuapishwa kwa Rais wa 45 wa Marekani Donald Trump Leo..!!!

Mshindi wa uchaguzi mkuu wa mwezi Novemba Donald Trump anatarajiwa kuapishwa kuwa rais wa 45 wa Marekani leo Ijumaa tarehe 20 Januari, 2017. Bw Trump wa Chama cha Republican anatarajiwa kuapishwa mbele ya watu 750,000 mbele ya majengo makuu ya bunge la Marekani, Capitol Building, Washington D.C. Kisheria, rais anafaa kuapishwa kabla ya saa 6:00 mchana saa za Amerika Mashariki ambazo Afrika Mashariki...

Wanaosoma Diploma Sasa Kupewa Mikopo na Bodi ya Mikopo (HESLB)

Serikali imewasilisha pendekezo la mabadiliko ya Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ili kuwezesha wanafunzi wanaochukua Stashahada katika vipaumbele vya kitaifa, kupewa mikopo ya kuwawezesha kuchukua elimu husika. Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako alisema mabadiliko hayo, yamelenga kuwezesha kasi katika uchumi wa viwanda. Profesa Ndalichako...

Umeipata Hii ya Toleo Jipya la Simu ya iPhone 8,Eti Itakuwa na Uwezo wa Kutambua Sura za Watu..!!

Toleo lijalo la simu za Apple, iPhone 8, itakuja na uwezo wa kutambua sura za watu. “Other features appear to include some form of facial/gesture recognition supported by a new laser sensor and an infrared sensor mounted near the front-facing camera and, as expected, should also finally include wireless charging,” alisema, Timothy Arcuri toka kampuni ya utafiti ya Cowen and Company. Simu hizo zinatarajiwa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us