KINGAZI BLOG: 02/25/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 25 February 2017

Picha ya pamoja zari na wema sepetu.

Hii ni picha iliyo sambaa mtandao ikimuonesha mzazi mwenza wa Mwanamuziki Diamond platnumz na ex-girlfriend wake Wema sepetu katika picha ya pamoja Swali ni Je picha hii ni ya kweli au editing???Tupe Maoni yako hapo chini!!! ...

STEVE Nyerere Kakerwa na Kitendo cha Kurekodiwa na Mama yake Wema Sepetu..Kasema Wema Sepetu Hadai Chochote CCM

Baada ya sauti zilizosambaa zikimuhusisha Mwigizaji Steve Nyerere na Mama wa mwigizaji Wema Sepetu wakizungumza huku akitaja baadhi ya viongozi mbalimbali aliodili nao kwenye sakata la Wema kushikwa na Polisi, leo Steve Nyerere ameita Waandishi wa habari na kuongea nao. Steve Nyerere amesema kuwa hakuna msanii hata mmoja ambaye anakidai Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kusema mambo ambayo anasema Weme...

UHEARD!!..MAHAKAMA Yabariki Kuvunjika Kwa Ndoa ya Flora Mbasha na Mumewe...Sasa Kugawana Mali

Baada ya msuguano wa miezi kadhaa, hatimaye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imeridhia kuvunja ndoa ya Mwanamuziki wa Injili, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha kisha kugawana mali walizochuma pamoja. Chanzo makini kimefunguka kuwa, Flora aliyekuwa akiidai talaka hiyo ili aweze kuolewa na mwanaume wake mpya, alifanikiwa azma yake hiyo hivi karibuni baada ya mahakama kuridhia. “Si unajua Flora ameshapata...

CHOMBEZO - KIDUKU CHA MGUU MMOJA

>>>>> BOFYA HAPO KUONA KIONJO CHA VIDEO HII 18+ onl “Mambo vipi kaka Eddy mzima wewe, samahani kaka sijui unakumbuka ulichoniahidi???…..najua haukumbuki lakini mimi nitakukumbusha ni kuhusu kunifundisha kucheza mziki” aliongea maneno hayo mwanadada Yasmin kupitia simu ya mkononi akimwambia Eddy, ambaye ndio kwanza alikuwa ametoka usingizini. Eddy kwa hali ya kawaida alikuwa...

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI YA TAR 25 FEBRUARY 2017.

...

Wema Sepetu Alivyoihama CCM na kuingia  Chadema.

Msanii wa filamu nchi Tanzania Wema Sepetu ametangaza rasmi kukihama Chama cha Mapinduzi CCM na kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Akizungumza na waandishi wa habari leo  akiwa ameambata na mama yake mzazi nyumbani kwao Sinza Jijini Dar es Salaam, Wema amesema sababu kubwa ya kuhamia CHADEMA ni ili kupata nafasi ya kupigania demokrasia anayodai kuwa inapotea nchini Tanzania. Sababu...
 

Gallery

Popular Posts

About Us