KINGAZI BLOG: 04/14/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 14 April 2017

Audio | Rich Mavoko X Harmonize – Show Me | Mp3 Download

DOWNLOAD VIA wasafi.c...

AJALI Mbaya Imetokea Maeneo ya Mbwewe na Manga Tanga..

Kuna ajali ya Gari imetokea kati ya Mbwewe na Manga Tanga kuhusisha RAV 4 no T 455 CLA ya kugongana na lori. Taarifa za awali zinasema kuna waliofariki na kujeruhiwa.. Mungu awalaze mahali pema Marehemu na kuwapa uponaji majeruhi. Taarifa kamili itawajia baada...

RIPOTI: Wanasayansi wamegundua uhai kwenye sayari hii

Mwezi wa Enceladus ambao uko kwenye sayari ya Saturn huenda ukawa mahali bora zaidi pa kwenda kutafuta maisha nje ya dunia. Tathmini hii inatokea kufuatia uchunguzi katika sayari hiyo yenye kilomita 500 uliofanywa na Cassini. Uchambuzi wa kemia wa Cassini unaonyesha matundu ya maji moto kwenye sakafu ya bahari ya Enceladus, maeneo ambayo yanahusishwa na kuwepo kwa maisha, hapa duniani. Kuwepo kwa...

MAJAMBAZI Wanne Walioua Askari 8 Kibiti Wauawa, Msako Waendelea

Jeshi la Polisi Tanzania limesema limewaua majambazi wanne ambao walikuwa ni sehemu ya kundi la majambazi lililowashambulia na kuwaua askari 8 wilayani Kibiti mkoani Pwana jana usiku. Akiongea na waandishi wa habari Ijumaa hii, Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa jeshi hilo, Nsato Marijani amesema kuwa mara baada ya kundi hilo kuwashambulia askari, kikosi kingine cha askari kilifanya msako na kubaini...

Kauli ya Rais Magufuli Baada ya Askari Nane Kuuawa Mkoani Pwani..!!!

Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa za vifo vya Askari Polisi 8 waliouawa kwa kushambuliwa na watu wenye silaha jana jioni katika eneo la Jaribu Mpakani, Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani. Askari Polisi hao walikuwa wakitoka kubadilishana doria na wameshambuliwa kwa kupigwa risasi wakiwa wanasafiri kwa gari katika barabara ya Dar es Salaam...

MAJAMBAZI Wanne Walioua Askari 8 Kibiti Wauawa, Msako Waendelea

Jeshi la Polisi Tanzania limesema limewaua majambazi wanne ambao walikuwa ni sehemu ya kundi la majambazi lililowashambulia na kuwaua askari 8 wilayani Kibiti mkoani Pwana jana usiku. Akiongea na waandishi wa habari Ijumaa hii, Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa jeshi hilo, Nsato Marijani amesema kuwa mara baada ya kundi hilo kuwashambulia askari, kikosi kingine cha askari kilifanya msako na kubaini...
 

Gallery

Popular Posts

About Us