KINGAZI BLOG: 10/08/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 8 October 2016

Shule zafundisha wanafunzi kuiba mitihani

Dar es Salaam. Hata baada ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kufikia kutangaza kuwa imefanikiwa kudhibiti wizi wa mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi na sekondari imeelezwa kuwa kuna shule zinazofundisha mbinu za kuiba mitihani. Wenye siri kuhusu vituo na shule hizo zinazokiuka taratibu za usiri wa mitihani ni Umoja wa Wamiliki wa Shule na Vyuo binafsi (Tamongsco) ambao wamesema baadhi...

Bodi ya Mikopo (HESLB ) Yasitisha Mikopo Ya Walimu Wanafunzi Waliompiga Mwanafunzi Mbeya Sec.

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inautaarifu umma kuwa imesitisha mikopo ya elimu ya juu iliyokuwa ikitolewa kwa walimu-wanafunzi wanne waliosimamishwa masomo kwa kuhusika katika tukio la kumshambulia na kumuumiza mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mbeya. Walimu hao walikuwa katika mafunzo ya vitendo. 1. Frank Msigwa - Chuo Kikuu Kishiriki cha Dar es Salaam (DUCE) 2....

Maafa Tena Kagera: Ugali wa Sumu Waua Mama na Watoto Wanne

MAMA na watoto wake wanne wamefariki dunia katika Kijiji cha Kyebitembe wilayani Muleba mkoani Kagera, baada ya kula ugali unaosadikiwa kuwa na sumu. Waliofariki dunia ni Julitha Julius (35), Haujeni (14), Superius (12), Julius (4) na Paschazia mwenye umri wa miezi sita. Akizungumzia tukio hilo, Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyamilanda, Trasias Baltromeo, alidai kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa tisa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us