KINGAZI BLOG: 01/28/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 28 January 2017

New official Audio LOP'S MIRACULO- AM_NOT_A _BAD_MAN

LOP'S MIRACULO- AM_NOT_A _BAD_MAN                                                    DOWNLOA...

Serikali Yapiga Marufuku Wanafunzi kufundishwa Somo la Dini ya Kiislamu Mashuleni..!!!

 SERIKALI nchini Swaziland imeziagiza shule zake kufundisha somo la dini ya Kikristo pekee, hatua iliokosolewa na wadau mbalimbali kwa kuwa haiheshimu dini nyengine. Agizo hilo lilitolewa wiki iliyopita na Wizara ya Elimu nchini humo, ambapo ilipita shuleni ikiwaagiza walimu wakuu wote kuhakikisha mtaala hautaji dini nyingine zaidi ya Kikristo. Sahid Matsebula, ambaye ni Muislamu anayefanya...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya tar 28 

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us