KINGAZI BLOG: 05/05/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 5 May 2017

Binti wa Miaka 35 Ajitokeza Kuwania Urais Nchini Rwanda

Mwanadada Diane Rwigara, ametangaza azma yake ya kuwania Urais nchini Nchini Rwanda katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti mwaka huu. Huyu ni Binti wa mfanyabiashara maarufu wa Kinyarwanda Assinapol Rwigara aliyefariki miaka 2 iliyopita katika mazingira ya kutatanisha . Bi Diane mwenye umri wa miaka 35 amesema, anataka kukomesha uonevu na kuleta haki na uhuru wa watu kujieleza nchini Rwanda. Amesema,...

Ufafanuzi wa taarifa inayodai Rais Magufuli Ametengua agizo la Waziri Mwakyembe kwa vyombo vya habari kuhusu kusoma magazeti.

...

Hussein Machozi Asimulia Alivyofumaniwa na Mke wa Mtu na Kisha Kupewa Kichapo Nchini Kenya

Msanii Hussein Machozi ambaye sasa amerudi nchini kutoka nchini Italia amefunguka na kusimulia kisa chake cha kufumaniwa alivyokuwa Kenya na kusema kuwa kama asingekimbia huenda mambo yangekuwa mabaya kwake. Hussein Machozi amesema hayo kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa yeye alikwenda Kenya kikazi na mtu ambaye alikuwa anawasiliana naye alikuwa ni binti aliyeandaa...

Sakata la Makonda kuivamia Clouds laibuliwa upya

SAKATA la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds liliibuliwa upya na wadau wa habari jana baada ya kulilaani. Wadau hao wa habari walilaani tukio hilo jana ikiwa ni siku maalum ya Uhuru wa Habari iadhimishwayo Mei 3 kila mwaka. Akizungumza kama mgeni rasmi katika siku hiyo jijini, Mbunge wa viti maalum wa Chama Cha Wananchi (CUF), mkoa wa Dar es Salaam, Salma Mwasa...

Majina wenye vyeti feki kutoka leo Jumatano

WAKATI watumishi wa umma 9,932 wakiwa wamebainika kuwa na vyeti feki mpaka sasa, idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka Jumatano ijayo, siku ambayo Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi itatangaza majina zaidi. Ijumaa iliyopita, serikali ilitangaza kukamilika kwa zoezi la uhakiki wa vyeti vya kuhitimu kidato cha nne, sita na ualimu kwa watumishi wa Sekretarieti za Mikoa, Tawala za Mikoa, Wakala wa Serikali,...

NAFASI ZA KAZI WORLD VISION TANZANIA - MAOMBI KABLA 18 MAY 2017

Monitoring & Evaluation Project ManagerJOB DESCRIPTIONThe Monitoring & Evaluation (M&E) Project Manager is responsible for ensuring that the Babati Pamoja Project monitoring and evaluation meets THRIVE, WVT, Partnership and industry standards.Key Roles and Responsibilities:Lead the development and execution of the project’s M&E system in line with WVT and THRIVE approach:Developing...

NAFASI ZA KAZI JIRA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA -TCRA

AFRICA AND LEAST DEVELOPED COUNTRIES (LDC) COORDINATOR (UPU/17/P5/FT-C/174)Organizational Context:With its 192 member countries, the Universal Postal Union (UPU), a specialized agency of the United Nations, is the primary forum for cooperation between postal sector players. It helps to ensure a truly universal network of up-to-date products andservices.Main duties:Under the supervision and guidance...
 

Gallery

Popular Posts

About Us