KINGAZI BLOG: 03/03/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 3 March 2017

Diamond atoa kauli kuhusu wimbo wa ‘Salome’ kujaa matusi

Maoni ya baadhi ya wadau wa muziki kuwa kila wanapousikiliza ‘Salome’ wa Diamond na RayVanny wanapata picha ya matusi, yamekutana na majibu ya Boss huyo wa WCB. Akifunguka jana kwenye kipindi cha Ngazi Kwa Ngazi kinachorushwa na EATV, Diamond alisema kuwa ‘Salome’ haina matusi bali imebeba lugha ya mahaba mazito. “Ukiangalia wimbo wa Salome, hauna matusi, ila una maneno ya kimahaba,” alisema Mond. “Unapozungumzia...

Elimu ya Makonda Kaa la Moto,Mawaziri Waogopa Kuzungumzia..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 3/3/2017..!!!

...

Breaking News...Makonda Afunguka Kuhusu Elimu Yake,Atoa Majibu Haya Kwa Wanaoshinda Mitandaoni Wakimsema..!!!

KUHUSU ELIMU YAKE Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amefunguka tuhuma zinazozushwa kupitia mitandao ya kijamii na watu mbalimbali kuhusu elimu yake na zinazoeleza kuwa amefoji cheti cha mtu mwingine. Akizungumza kwenye kikao cha kamati ya ushauri wa Mkoa (RCC) RC Makonda ameeleza kuwa kinachogombaniwa siyo Makonda bali ni kiti alichokalia (UKUU WA MKOA), hivyo ameeleza kuwa nafasi yake...
 

Gallery

Popular Posts

About Us