KINGAZI BLOG: 04/21/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 21 April 2017

MAMA Aliyeibiwa Mtoto Hospitali, Afunguka. mazito

Asma Juma, mzazi aliyejifungua watoto mapacha na kudai kuibiwa mtoto mmoja katika hospitali ya Temeke, amefunguka kuelezea kilichotokea. Mzazi huyo anawatuhumu wauguzi wa hospitali hiyo kumuiba mtoto wake huyo akidai, awali wakati alipokuwa na ujauzito picha za Ultrasound alizowahi kupima zilionyesha kuwa ana ujauzito wa mapacha na hata alipokuwa hospitalini hapo alimsikia nesi aliyekuwa akimuhudumia...

Serikali Yalipa Madeni Ya Fedha Za Likizo Kwa Walimu 86,234 Nchini.

Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imelipa madeni ya fedha za likizo kwa walimu 86,234 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2015/2016 na 2016/17. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Mhe.Stella Manyanya wakati akijibu hoja mbalimbali za wabunge Mjini Dodoma. “Serikali inaendelea kulipa madeni mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha za likizo kwa walimu/Watumishi...

MAGAZETI YA LEO IJUMAA APRILI 21, 2017

...

MASOGANGE Matatani, Mahakama Yaagiza Akamatwe..!!!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetoa hati ya kukamatwa Msanii Agnes Gerald Waya maarufu kama Masogange (28), baada ya kushindwa kufika mahakamani mara kwa mara ya pili kesi yake ilipopangwa kutajwa. Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Wilbroad Mashauri ametoa amri hiyo baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa kesi hiyo ilipangwa kutajwa lakini mshtakiwa, wadhamini na wakili...

Tekno – BE | Mp3 Download] KINGAZI BLOG

Listen here for free this son...

Download Mp3 | P-Square - Nobody Ugly. | New Song Audio

...

Kimenuka!!!! NI VITA.......MANGE KIMAMBI na WOLPER waporomosheana matusi Makubwa mazito huko Insta kila upande ukijibu mashambulizi!!!! Ubuyu wotu Huu hapa

Ni bifu zito na vita ya maneno na kurushiana maneno makali matusi ya nguoni, mambo yalianza pale Mange alipopost comment ya wolper kwenye account yake ikionyesha wolper akitoa povu kwa Ney wa Mitego akimchamba baada ya Nay wa mitego kusema walioandamana wote ni mataahira, kilichomponz a Mange ni Ile post yenye comment  mambo yakaanza hivi kama uonavyo hapa chini TUMEKUWEKEA UBUYU WOTE ONA...
 

Gallery

Popular Posts

About Us