
Pierre Ismael Bidoung Mpkatt akimsalimia Paul Biya
Tangu waziri wa michezo nchini Cameroon Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati akimsalimia rais wa nchi hiyo Paul Biya, picha hizo zilisambaa mitandaoni.
Watu nchini Cameroon wamekuwa wakiiga picha hizo na hata kuifanyia mabadiliko.
Salamu zisizokuwa za kawaida Cameroon
Mfano mwingine ulibuniwa.
Salamu zisizokuwa za kawada...