Leo ni siku ya kuzaliwa mwanangu wa nguvu artist mkubwa mwenye asili ya bongo ila yuko kwa Nkurunzinza akifanya yake huko. HAPPY BIRTHDAY BROTHER, ongeza juhudi kupitia kipaji chako.Utafika mbali
...
Iliwashangaza wengi baada ya Vanessa Mdee naye kutajwa kwenye orodha ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ya mastaa wanaohusishwa na biashara ya madawa ya kulevya. Ni shutuma nzito, na hata kabla uthibitisho rasmi haujatoka, madhara ya kutajwa majina yao yameanza kuonekana katika maisha yao
Wito huo umemkutia Vee Money akiwa nchini Afrika Kusini anakoshoot tamthilia ya MTV Shuga, na bila...
IRIS HERNANDEZ-RIVER (20) mwanamke mkazi wa Gaithersburg, Jimbo la Maryland, Marekani, alimwua binti yake, Nohely Alexandra Martinez Hernandez mwenye umri wa miaka minne kwa kutopiga mswaki.
Mama huyo alikasirishwa na kitendo hicho jana ambapo alimpiga teke la tumboni binti yake huyo na kusababisha binti huyo kudondoka na kugonga kichwa chake ukutani.
Ilimchukua Iris muda wa saa moja kupiga namba...
Sura ya furaha inaendelea kuonekana kwa mtoto Hope aliyechukuliwa mtaani nchiniNigeria wakati huo akiwa na miaka miwili baada ya kuachwa na Wazazi wake ikisemekana ni Mchawi.
Inasemekana alitelekezwa na familia yake kwa sababu walidhani yeye ni mchawi ambapo baadae akapatikana mtaani na kuchukuliwa na Mwanamke raia wa Denmark Anja Ringgren Loven aliyejitolea kumlea...