BOFYA HAPA KUDOWLOAD
Audio Player
00:00
00:00
Use Up/Down Arrow keys to increase or decrease volume.
...
Monday, 5 September 2016
Download Audio: Jux & Vanessa Mdee – JUU (Snippet)
Published Under
AUDIO
BOFYA HAPA KUDOWLOAD
Audio Player
00:00
00:00
Use Up/Down Arrow keys to increase or decrease volume.
...
SHARE!
Makubwaaa!!! Hebu ona picha live KIJANA AJIRUSHA TOKA JUU YA GHOROFA HADI CHINI NA KUPASUKA PASUKA ENEO LA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM
Published Under
TOP STORIES
KIJANA MMOJA AMBAYE JINA LAKE HALIKUWEZA KUFAHAMIKA KWA HARAKA ,,JANA SIKU YA JUMAPILI ALIJIRUSHA TOKA KATIKA JENGO REFU LILILOKO MAENEO YA MAKUTANO YA BARABARA YA MOROGORO ROAD NA BIBI TITI .HAIKUFAHAMIKA MARA MOJA NINI SABABU ZA KUJIRUSHA KWA...
SHARE!
HUYU NDIYE MWANAUME ANAYEMKOSESHA USINGIZI SNURA
Published Under
TOP STORIES
Staa wa Ngoma ya Chura, Snura Mushi, juzikati alieleza jinsi anavyowewesekea penzi la mwanaume ambaye ni staa mwenzake wa Bongo Fleva lakini hakumtaja. Katika pekuapekua, Wikienda limenyaka jina la staa huyo kutoka kwa mtu wa karibu wa Snura ambaye amedai kuwa ni Raymond au Rayvanny wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB).
Sosi huyo ambaye hakutaka kuchorwa gazetini alidai kuwa, Snura...
SHARE!
Wabunge wa Upinzani Kuanza Vikao vya Kutafuta Suluhu na Naibu Spika
Published Under
KITAIFA

Kambi rasmi ya upinzani imepanga kufanya vikao vya kujadili suluhu ya kudumu ya mgogoro na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson uliosababisha wabunge wanaounda Ukawa kususia vikao vinavyoendeshwa na kiongozi huyo.
Vikao hivyo vinapangwa kufanyika wakati mkutano wa nne ukianza rasmi kesho, baada ya kuahirishwa mwishoni mwa Juni mwaka huu wakati wa mkutano wa Bajeti.
Mbunge wa Vunjo (NCCR- Mageuzi),...
SHARE!
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Septemba 5
Published Under
MAGAZETINI LEO

Hizi hapa kwa ufupi habari zilizopewa nafsi ya juu katika magazeti ya Tanzania leo septemba 5 kwenye habari za kitaifa kimataifa na michezo. KARIBU.
...
SHARE!
CHECK LIST YA MASTAA AMBAO NI JAMVI LA WAGENI ,WOTE WATAJWA HAPA LIVE
Published Under
TOP STORIES

Madai mazito! Kufuatia baadhi ya mastaa wa kike Bongo kuwa na tabia kila anapokuja staa wa nje kwa ajili ya kupafomu au mwanaume mwenye fedha kufanya jitihada za kumnasa kimapenzi, wanadaiwa kuwa ni ‘jamvi la wageni’ kwa kile kinachosemekana kuwa huwa wanajilengesha wenyewe, Wikienda lina listi kamili.
Chanzo makini kimelidokeza Wikienda kuwa baadhi ya mastaa hao wamekuwa wakijilegeza kutoa...
SHARE!
MWANAMKE ALIYEBADILI JINSIA NA KUWA MWANAUME AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
Published Under
TOP STORIES

Mwanaume mmoja aliyebadili jinsia ni wa kwanza barani Ulaya kujifungua mtoto baada ya kuwa mjamzito kwa njia ya kupandikiziwa mbegu za kiume.
Mwanaume huyo ambaye hakutajwa jina, ambaye alizaliwa mwanamke, alijifungua mtoto wa kiume nyumbani kwa msaada wa mkunga katika wilaya masikini ya Neukoellin ya mjini Berlin.
Alisisitiza kujifungulia nyumbani sababu alikataa kuorodheshwa kama mama...
SHARE!
MAAJABU MAITI ZAFUKULIWA NA KUBALISHWA NGUO KISHA KUZIKWA TENA
Published Under
TOP STORIES

Nchini indonesia katika kijiji cha Tana Toraja, maiti huwa zinafufuliwa na Kubadilishwa nguo, zoezi hili hufanyika kila mwaka baada ya maiti kuzikwa, na wanafamilia ndio huifanya kai iyo;
Mara nyingi mtu anapo kufa huwa wanamzika katika sehemu aliyo zaliwa na sio aliyokufia so kila baada ya mwaka humfukua na kumbadilisha mavazi, hii ni moja kati ya mila zao wenyewe:
Duuh hii nouma sana mimi...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)