KINGAZI BLOG: 09/05/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 5 September 2016

Download Audio: Dullayo Ft Raymond – Yule Yule

BOFYA HAPA KUDOWLOAD Audio Player 00:00 00:00 Use Up/Down Arrow keys to increase or decrease volume. ...

Download Audio: Jux & Vanessa Mdee – JUU (Snippet)

BOFYA HAPA KUDOWLOAD Audio Player 00:00 00:00 Use Up/Down Arrow keys to increase or decrease volume. ...

Download Audio: Christina Shusho – Roho

...

Makubwaaa!!!  Hebu ona picha live KIJANA AJIRUSHA TOKA JUU YA GHOROFA HADI CHINI NA KUPASUKA PASUKA ENEO LA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM

  KIJANA MMOJA AMBAYE JINA LAKE HALIKUWEZA KUFAHAMIKA KWA HARAKA ,,JANA SIKU YA JUMAPILI ALIJIRUSHA TOKA KATIKA JENGO REFU LILILOKO MAENEO YA MAKUTANO YA BARABARA YA MOROGORO ROAD NA BIBI TITI .HAIKUFAHAMIKA MARA MOJA NINI SABABU ZA KUJIRUSHA KWA...

HUYU NDIYE MWANAUME ANAYEMKOSESHA USINGIZI SNURA

  Staa wa Ngoma ya Chura, Snura Mushi, juzikati alieleza jinsi anavyowewesekea penzi la mwanaume ambaye ni staa mwenzake wa Bongo Fleva lakini hakumtaja. Katika pekuapekua, Wikienda limenyaka jina la staa huyo kutoka kwa mtu wa karibu wa Snura ambaye amedai kuwa ni Raymond au Rayvanny wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB).  Sosi huyo ambaye hakutaka kuchorwa gazetini alidai kuwa, Snura...

Wabunge wa Upinzani Kuanza Vikao vya Kutafuta Suluhu na Naibu Spika

Kambi rasmi ya upinzani imepanga kufanya vikao vya kujadili suluhu ya kudumu ya mgogoro na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson uliosababisha wabunge wanaounda Ukawa kususia vikao vinavyoendeshwa na kiongozi huyo. Vikao hivyo vinapangwa kufanyika wakati mkutano wa nne ukianza rasmi kesho, baada ya kuahirishwa mwishoni mwa Juni mwaka huu wakati wa mkutano wa Bajeti.  Mbunge wa Vunjo (NCCR- Mageuzi),...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Septemba 5

Hizi hapa kwa ufupi habari zilizopewa nafsi ya juu katika magazeti ya Tanzania leo septemba 5 kwenye habari za kitaifa kimataifa na michezo. KARIBU.  ...

CHECK LIST YA MASTAA AMBAO NI JAMVI LA WAGENI ,WOTE WATAJWA HAPA LIVE

Madai mazito! Kufuatia baadhi ya mastaa wa kike Bongo kuwa na tabia kila anapokuja staa wa nje kwa ajili ya kupafomu au mwanaume mwenye fedha kufanya jitihada za kumnasa kimapenzi, wanadaiwa kuwa ni ‘jamvi la wageni’ kwa kile kinachosemekana kuwa huwa wanajilengesha wenyewe, Wikienda lina listi kamili.  Chanzo makini kimelidokeza Wikienda kuwa baadhi ya mastaa hao wamekuwa wakijilegeza kutoa...

MWANAMKE ALIYEBADILI JINSIA NA KUWA MWANAUME AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

Mwanaume mmoja aliyebadili jinsia ni wa kwanza barani Ulaya kujifungua mtoto baada ya kuwa mjamzito kwa njia ya kupandikiziwa mbegu za kiume.  Mwanaume huyo ambaye hakutajwa jina, ambaye alizaliwa mwanamke, alijifungua mtoto wa kiume nyumbani kwa msaada wa mkunga katika wilaya masikini ya Neukoellin ya mjini Berlin.  Alisisitiza kujifungulia nyumbani sababu alikataa kuorodheshwa kama mama...

MAAJABU MAITI ZAFUKULIWA NA KUBALISHWA NGUO KISHA KUZIKWA TENA

Nchini indonesia katika kijiji cha Tana Toraja, maiti huwa zinafufuliwa na Kubadilishwa nguo, zoezi hili hufanyika kila mwaka baada ya maiti kuzikwa, na wanafamilia ndio huifanya kai iyo; Mara nyingi mtu anapo kufa huwa wanamzika katika sehemu aliyo zaliwa na sio aliyokufia so kila baada ya mwaka humfukua na kumbadilisha mavazi, hii ni moja kati ya mila zao wenyewe: Duuh hii nouma sana mimi...
 

Gallery

Popular Posts

About Us