KINGAZI BLOG: 11/01/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 1 November 2016

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA KATIKA TUKIO LA MOTO, BANDARINI JIJINI DAR LEO

Moto ukiendelea kuwaka katika Makontena yaliandaliwa na kujazwa matairi kwa lengo la kufanya mazoezi, ingawa mitaani tayari zilikwisha enea habari kuwa moto mkuwa umeteketeza makontena, Bandarini jijini Dar es salaam leo.  Afisa mawasiliano mkuu wa Bandari, Peter Milanzi, akizungumza na waandishi wa habari waliofika katika eneo hilo ulipotokea moto ambapo alisema kuwa moto huo, ni sehemu ya...

4TH ROUND SELECTED STUDENTS TO JOIN MOUNT MERU UNIVERSITY 2016/2017

 4TH ROUND SELECTED STUDENTS TO JOIN MMU THROUGH TCU  <<BONYEZA HAPA>>...

4TH ROUND STUDENTS SELECTED TO AJUCO-SAUT 2016/2017

KUONA MAJINA YOTE  >>BONYEZA HAPA<<...

MPYA: HAYA HAPA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU CHA RUCU AWAMU YA TATU. 2016/17.

1. Bachelor of Arts with Education 2. Bachelor of Accounting and Finance with Information Technology 3. Bachelor Business Administration 4. Bachelor of Science with Education (Mathematics & IT) 5. Bachelor of Science in Computer Science Information System 6. Bachelor of Science in Computer Science Software Engineering 7. Bachelor...

VIDEO: ‘Wanafunzi wanaohitaji mikopo sio wote watakaopata’ – Serikali

Naibu waziri wa Elimu, sayansi na teknolojia Eng. Stella Manyanya alilazimika kusimama bungeni Dodoma kujibu swali la Mbunge wa Kilolo Venance Mwamoto aliyetaka kujua kwanini hadi sasa kuna baadhi ya wanafunzi wa elimu ya juu hawajapewa mikopo, tazama hii video hapa chini U ...

HABARI KUU KWENYE MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAR 01 NOVEMBA

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us