KINGAZI BLOG: 10/26/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 26 October 2016

Audio |Ally Kiba- Risabela| Mp3 Download

Audio |Ally Kiba- Risabela| Mp3 Download ...

BODI YA MIKOPO: WANAFUNZI WAPYA 20,183 WAMEPANGIWA MIKOPO KATI YA 88,163 WALIOOMBA KUPEWA MKOPO.

                               Baada ya kukamilisha zoezi la Uchambuzi wa maombi ya Mikopo 88,163 yaliyopokelewa hadi kufikia tarehe 11 Agosti, 2016. Jumla ya Wanafunzi wapya 20,183 wamepangiwa Mikopo. Upangaji huu umezingatia vigezo vilivyomo katika mwongozo wa  utoaji wa mikopo uliopitishwa...

LIST OF STUDENTS SELECTED ST.JOSEPH BOKO CAMPUS 2016/2017

  KUONA MAJINA  <<BONYEZA HAPA>...

List of first year students who have been Re-allocated to Bsc.Education in Sokoine university

The following students have been re-allocated to BSc. Education, the program for which they were earlier selected by TCU. Those who have been given accommodation at the Main Campus will need to report to SUASAB in order to be moved to new accommodation at Solomon Mahlangu Campus (SMC). CLICK HERE TO SEE YOUR NAME...

List of first year Continous students of University of Dar es salaam who have been allocated to loans in 2016/17

TAARIFA KWA UMMAWizara ya Mikopo Chuo Kikuu Dar es salaam imekuwa ikifuatilia malipo ya fedha mbali mbali kwa wanafunzi na inawatangazia wanafunzi wote kuwa mnaombwa leo mpaka kufikiasaa 4 subuhi muwe mmeangalia mpangilio wa majina yenu na namba ya kusaini iliyopo kwenye karatasi za malipo ya Mafunzo kwa Vitendo na mgawanyo wa malipo ya fedha za kujikimu pamoja na ada kwa mwaka mzima ambazo zilibandikwa...

Here is Sheila Mwanyigha's last moment with Achieng Abura, She is a true friend indeed

Unlike most celebrities who were in a position to help the late Achieng, Sheila has been there since the word go. The former radio queen had posted a photo seeking help from her fans who she hoped would step in and contribute for the money Prince Abura’s treatment. The post shared about 2 weeks ago, an indication that Mwanyigha is one of a kind. With that single post the late...

Rais Magufuli Ateuliwa kuwania tuzo ya Forbes kwa watu maarufu barani Afrika

Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameingia katika listi ya watu ambao wametajwa kuwania tuzo ya Person Of The Year 2016 ambayo hutolewa na Jarida la Forbes Africa. Rais Magufuli ameingia katika kinyang’anyio hicho, akiwania tuzo hiyo pamoja na Mwanzilishi wa Capitec Bank, Michiel le Roux, Thuli Madonsela, Ameenah Gurib na watu wa Rwanda. Kama Rais Magufuli atafanikiwa kushinda tuzo hiyo,...

Edward Lowassa Anena Mwaka Mmoja wa Rais Magufuli

 Aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa amechambua mwaka mmoja wa uongozi wa Rais John Magufuli tangu aingie madarakani akisema kuna mafanikio machache katika baadhi ya maeneo, lakini maisha ya wananchi yamezidi kuwa magumu. Lowassa ambaye katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, 2015 aliungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), alisema hayo...

Asilimia 90 ya Wanafunzi kupata Fedha zao za Mikopo Kesho

Wakati baadhi ya wanafunzi wa elimu ya juu wakiendelea kusubiri kupata mikopo yao, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hadi kufikia kesho, asilimia 90 ya wanufaika watakuwa wameshapata fedha zao.  Majaliwa alisema hayo jana wakati wa kilele cha maadhimisho ya miaka 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).  “Taarifa niliyonayo ambayo nimepata asubuhi hii (jana), wachache sana wameanza...

Habari kuu zilizopoKatika Magazeti ya Leo Jumatano ya Octoba 26

...

Diamond platnumz : Wasanii Wengi wa Kimataifa Wametaka Kujiunga na WCB ila Nimewakatalia

Diamond amedai kuna wasanii wengi wa kimataifa Afrika na nje ya Afrika wametaka kujiunga na WCB lakini amewakatalia kwa kuwa anatka kukuza wa nyumbani kwanza  Pia amesema sasa hivi hawachukui wasanii wengine wachanga mpaka Ray vanny na harmonize wakue vizur...
 

Gallery

Popular Posts

About Us