KINGAZI BLOG: 12/25/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Sunday, 25 December 2016

FARU John Huyu Hapa, Lindo lake lilikuwa Sh215,000 Kwa Kila Siku

Wakati Waziri Mkuu ameagiza kaburi la Faru John lifukuliwe na kuchukuliwa vipimo vya vinasaba kuthibitisha kama pembe alizopelekewa ni zake, mabaki yanayoaminika kuwa ni ya mnyama huyo (pichani) yameonekana yakiwa porini katika eneo la Grumeti, wilayani Serengeti alipofia. Vilevile, gazeti hili limebaini kuwa kabla ya kifo chake, Faru John alikuwa analindwa kwa gharama ya Sh225,000 kila siku. Faru...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya Disemba 25

...

UTAFITI: Mitandao ya Kijamii Inaweza Kusababisha Magonjwa ya Akili

Je, unapenda kufungua mitandao mbalimbali ya jamii kama Facebook, Tweeter, Instagram, Google Plus, Snapchat, LinkedIn, Youtube na mingineyo kila siku? Kama jibu ni ndiyo, basi uko hatarini kupata tatizo la msongo wa mawazo na wasiwasi. Utafiti mpya uliofanywa na Chuo Kikuu cha Pittsburgh cha Pennsylvania nchini Marekani mwaka 2014 na kuzinduliwa mwaka huu, unaonyesha kuwa matumizi ya mara kwa mara...
 

Gallery

Popular Posts

About Us