KINGAZI BLOG: 10/04/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 4 October 2016

TCRA yakipa onyo kali kituo cha runinga cha Clouds.........Yakifungia kwa miezi 3 kipindi cha 'Take One' kwa kukiuka kanuni za utangazaji.

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa onyo kali kwa kituo cha Televisheni cha Clouds sambamba na kukifungia kwa kipindi kwa miezi mitatu kipindi cha Take One kinachorushwa na Kituo hicho.   Makamu mwenyekiti wa kamati hiyo Method Mapunda amesema sababu ya kukifungia kipindi hicho ni kutokana na ukiukwaji wa kanuni za utangazaji za mwaka 2005, kwa kumhoji na kurusha...

MTOA MACHO DAR AKAMATWA...MAARUFU "SCOPION" ANATUMIA KISU KUTOBOA WATU MACHO

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es Salaam, Simon Sirro amesema jeshi hilo limemkamata mtuhumiwa ‘Scopion’ aliyehusika katika matukio ya unyang’anyi wa kutumia silaha eneo la Buguruni jijini humo. Sirro alitoa kauli hiyo jana Buguruni kwa Mnyamani jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa kujadili usalama katika eneo hilo ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.Alisema...

Waziri atolea maelezo taarifa ya serikali kuhakiki watumishi wanavyotumia mishahara yao

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora,  Angellah J. Kairuki amekanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa serikali ina mpango ya kuhakiki namna watumishi wake wanavyotumia mishahara yao. Waziri Kairuki kupitia akaunti yake ya matandao wa Twitter amesema kuwa taarifa hiyo ni ya uongo na kuwataka wananchi kuipuuza kwani ina lengo la kupotosha umma. “Kuna taarifa...

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya October 4

...

MTOA MACHO DAR AKAMATWA...MAARUFU "SCOPION" ANATUMIA KISU KUTOBOA WATU MACHO

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es Salaam, Simon Sirro amesema jeshi hilo limemkamata mtuhumiwa ‘Scopion’ aliyehusika katika matukio ya unyang’anyi wa kutumia silaha eneo la Buguruni jijini humo. Sirro alitoa kauli hiyo jana Buguruni kwa Mnyamani jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa kujadili usalama katika eneo hilo ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.Alisema...
 

Gallery

Popular Posts

About Us