HakiMALAWI AIRLINES / FACEBOOKImageNdege hiyo itakuwa chini ya Kapteni Yolanda Kaunda na Lusekelo Mwenifumbo
Shirika la ndege la Malawi, Malawi Airlines, limetangaza kwamba linapanga kufanya safari ya ndege itakayosimamiwa na wanawake pekee Alhamisi wiki hii.
Safari hiyo ya ndege, ambayo itakuwa na marubani na wasaidizi wa abiria kwenye ndege wote wakiwa wanawake, itakuwa ya kwanza kuandaliwa na...
Wednesday, 15 March 2017
Bunge la lapiga Marufuku upigaji Punyeto
Published Under
TOP STORIES

Mwanasiasa mmoja mwanamke anachukua hatua isio ya kawaida katika kile anachosema ni sheria kali za uavyaji mimba kwa kuwalenga wanaume wanaofanya punyeto.
Lengo la sheria hiyo yake anasema ni kuwalinda watoto ambao hawajazaliwa kila mahali.
Ndio sababu anataka mwanamume atakayemwaga mbegu zake za kiume nje ya uke wa mwanamke ama kutengezwa nje ya kituo cha matibabu kutozwa faini ya dola 100.
Iwapo...
SHARE!
CCM Watangaza Kumshughulikia Makonda,Magazeti ya Tanzania Leo jumatano 15/3/2017.
Published Under
MAGAZETINI LEO

...
SHARE!
WhatsApp kurudisha “status” za maneno..
Published Under
MAKALA

Kuna tetesi kwamba WhatsApp ipo mbioni kurudisha status za maneno baada kuondoa huduma hiyo katika toleo lake la hivi karibuni, hii ni habari nzuri kwa watumiaji ambao hawakupendezwa na mfumo mpya ulioletwa mwezi uliopita.
Muonekano mpya wa WhatsApp baada ya mabadiliko ya status
Kulikuwa na maneno mengi baada ya WhatsApp kuleta mabadiliko makubwa katika mfumo wa status kwa kutambulisha namna ya...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)