KINGAZI BLOG: 11/07/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 7 November 2016

(18+)JAMAAANI!!! HEBU CHEKI PICHA HIZI ZA KUSTAAJABISHZITAKUACHA MDOMO WAZI

HIZI NI MOJA YA SANAMU ZA AJABU ZILIZO CHONGWA NA KUWEKWA KATIKA MOJA YA MTAA  HUKO UGHAIBUNI,   HEBU TOA COMMENT YAKO HAPO CHINI...

CHOMBEZO: NILAMBE HUMO HUMO ====8

CHOMBEZO: NILAMBE HUMO HUMOMTUNZI: HUSSEIN WAMAYWA SEHEMU YA nane “Mimi ni miongoni mwa watu wachache sana wasiopenda kuwakwaza wenzao hasa wewe! Kuendelea kunilaumu kana kwamba nimeua bila kunieleza nilililolifanya, hunitendei haki Shamsa! Unaniweka katika kimuhemuhe ambacho kinanifanya nishindwe kujua nastahili kuwemo katika fungu gani kati ya wastaarabu na washenzi. Tafadhali niambie,...

WIZARA YA AFYA INATANGAZA NAFASI ZA KUSOMESHA/UFADHILI WA WANAFUNZI WA AFYA WALIOCHAGULIWA CHETI NA DIPLOMA 2016/2017

  KUSOMA TANGAZO HILO  <<BONYEZA HAPA>>...

Jeshi la Canada lachunguza kelele za ajabu kutoka bahari ya Arctic

Kelele hizo ziliripotiwa na watu wa eneo hilo kwamba zimewatisha wanyama na kuwafanya wakimbie mbali katika kipindi cha miezi michache iliyopita. Jeshi la Canada limechunguza kelele za ajabu zenye mlio mkali zinazotoka kwenye sakafu ya bahari katika eneo lisiloweza kufikiwa kwa urahisi la kanda ya Arctic, maafisa wameiambia BBC Kelele hizo za ajabu ziliripotiwa na watu wa eneo hilo kwamba zimewatisha...

TB Joshua atabiri nani kuwa Rais wa Marekani

Muhubiri maarufu wa vipindi vya Televisheni nchini Nigeria TB Joshua amesema ametabiri " kwamba Hillary Clinton atamshinda Donald Trump" katika uchaguzi wa urais wenye ushindani mkali tarehe 8 Novemba mwaka huu. Katika ujumbe alioutuma kwenye ukurasa wake wa Facebook TB Joshua amesema kuwa Bi Clinton atashinda kwa ushindi mdogo, lakini atakabiliwa na changamoto nyingini - likiwemo jaribio la kupiga...

DIAMOND PLATNUMZ ASHINDA TUZO TATU KWA 'MKUPUO' AFRIMMA

Diamond Platnumz ameibuka na ushindi wa nguvu kwenye tuzo za Afrima 2016 zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria. Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu, Song of The Year – Utanipenda, Best Artist/Duo/Song Of The Year Utanipenda na Best Male Artist in Eastern Africa. Pamoja na ushindi huo, Diamond pia alitumbuiza wimbo alioimba na Papa Wemba, msanii aliyetunukiwa tuzo ya heshima. Wasanii wengine...

Taarifa Rasmi: Aliyekuwa Spika wa Bunge Samwel Sitta Afariki Dunia

Aliyekuwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu nchini Ujerumani. Kiongozi huyo inadaiwa alifikwa na mauti saa 7:30 kwa muda wa nchini Ujerumani alikokuwa akitibiwa. Rais Magufuli amtumia Spika wa Bunge salama za rambirambi kufuatia kifo cha Spika Mstaafu Mhe. Samwel Sitta...

Habari kuu kwenye Magazeti Ya Leo Jumatatu ya Novemba 7

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us