KINGAZI BLOG: 02/20/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Monday, 20 February 2017

MAKOSA WANAYOYAFANYA WANAUME KILA SIKU WAKATI WA TENDO LA JIMAI (TENDO LA NDOA)

*# Moja:* Mume kutofahamu sehemu zenye hisia kali kwa mke wake...... Inafahamika wanawake wote kwa ujumla kuna sehemu zao za hisia kali zaidi wakichezewa. Hata ivo athari ya hisia na mihemko hutokana ufahamu wa mume ktk sehem husika za mkeo na pia umaridadi wa mume anavo zishulikia sehem izo ..na kuna wengine husisimka zaidi wakishikwa sehemu fulani ukilanganisha na wengine nao sehemu zingine ndio...

Umeipata hii !!!Watoto Wenye Kinga zinazo fanana na Nyani Hawapati Ukimwi

Utafiti uliofanywa na wanasayansi wa chuo kikuu cha Oxford umeonyesha kuwa, asilimia 5 - 10 ya watoto wanaoambukikizwa VVU(HIV) wakati wa kuzaliwa huwa hawapati ugonjwa wa UKIMWI kutokana na aina ya kinga waliyonayo inayodhibiti virusi hivyo na kuzuia ugonjwa.  Asilimia 50 ya watoto wenye HIV  hupoteza maisha kabla ya kufikisha miaka miwili, lakini watoto hawa wenye kinga madhubuti huishi...
 

Gallery

Popular Posts

About Us