KINGAZI BLOG: 11/11/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 11 November 2016

BOFYA HAPA KUJUA KIASI CHA MKOPO ULIOPATA KWA ASILIMIA

 Bodi ya mikopo ya elimu ya juu imeanza kuongeza majina ya wanafunzi wa elimu ya juu waliopata mikopo mwaka wa masomo 2016/2017,pamoja na kupanga distribution ya mkopo aliopata kila mwanafunzi(%).KUANGALIA MKOPO WAKO <<BONYEZA HAPA>&g...

Rais Magufuli amwaga chozi akimuaga Mungai

RAIS John Magufuli amebubujikwa na machozi hadharani wakati akiongoza mamia ya waombolezaji jijini Dar es Salaam, kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri katika awamu nne za uongozi wa nchi na Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, Joseph Mungai, aliyefariki ghafla Novemba 8, mwaka huu. Mbali na Dk Magufuli, Rais mstaafu Benjamin Mkapa, mke wa Rais mstaafu Mama Salma Kikwete, Makamu wa Rais wa Awamu ya Nne,...

PICHA RAIS OBAMA ALIPOKUTANA NA DONALD TRUMP IKULU KWA MARA YA KWANZA

Rais wa Marekani, Barack Obama leo amekutana na Rais Mteule wa nchi hiyo, Donald Trump ambapo wamefanya mazungumzo baina yao wawili kuhusu mambo mbalimbali ya nchi hiyo na baada ya hapo kuzungumza na waandishi wa habari waliokuwa wamejitokeza kwa wingi katika Ikulu ya Marekani ‘White House.’Trump na Mkewe waliwasili katika Ikulu ya Marekani saa nne unusu asubuhi (saa za Marekani) na kutumia mlango...

Askari waliotimuliwa wadaiwa kutaka kubaka wanafunzi

ASKARI wawili waliofukuzwa kazi na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya wamepandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Mkoa wa Mbeya wakikabiliwa na jumla ya mashitaka 13 waliyoyatenda dhidi ya wanafunzi wa kidato cha nne likiwamo la kuwaingilia kimwili kwa nguvu. Waliopandishwa kizimbani ni Konstebo Petro Magana aliyekuwa wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) Mbeya na Konstebo Lucas Ng’weina wa Wilaya...

Habari kuu kwenye Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Novemba 11

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us