KINGAZI BLOG: 01/24/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 24 January 2017

Ajali mbaya ya Basi na Lori la Mbao Yaua na Kujeruhi 32 Iringa.

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 32 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Vitu Laini linalofanya safari zake kutoka vijiji vya Kilolo kwenda Iringa Mjini kugongana na lori la mbao karibu likiwa limekaribia kufika Iringa Mjini. Akizungumza  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Peter Kakamba amethibitisha kutokea kwa ajli hiyo na kueleza kuwa majeruhi wote wa ajali hiyo wamelazwa katika Hospitali...

LEO NI SIKU YA KUZALIWA YA MWANANGU ANAITWA MOUREEN

Happy birthday my lovely daughter god give a hundred of year be blessed in every thing you do ...

Rais Donald Trump kawafuta kazi Mabalozi wote wa Marekani duniani

Kwa mujibu wa  The Independent naParsToday wanasema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amewafuta kazi mabalozi wote wa nchi hiyo kote duniani na wanaohudumu katika mashirika ya kimataifa ambapo uamuzi huo umefanyika katika siku yake ya kwanza kazini.   Trump ambaye aliapishwa Ijumaa January 20, 2017 kuwa Rais wa 45 wa Marekani, amewataka mabalozi wote walioteuliwa...

MUHIMU :TAARIFA MUHIMU KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR KUTOKA SUMATRA

...

Watoto wachanga watumiwa na Boko Haram, kushambulia

Wanawake wanaojitoa mhanga nchini Nigeria wameanza kutumia watoto kuepuka vizuizi vya ukaguzi, jambo ambalo, serikali nchini humo inasema linaweza kuwa mwelekeo wa hatari. Tahadhari hiyo imekuja baada ya wanawake wawili waliokuwa wamebeba watoto mgongoni kufanya mashambulizi ya kujitoa mhanga katika mji wa Madagali siku 10 zilizopita. Januari 13 mwaka huu, wanawake wanne waliokuwa wakijitoa mhanga...

MAGAZETI YA TANZANIA YALICHAONDIKA LEO JUMANNE YA JAN 24

...

Hii hapa Mikataba 9 Iliyosainiwa na Serikali ya Tanzania na Uturuki Leo

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Uturuki zimesaini mikataba tisa ya makubaliano ya kiuchumi inayolenga katika kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa maendeleo baina ya nchi hizo. Mikataba hiyo inahusisha sekta za uchukuzi, mawasiliano, habari, elimu, utalii, utafiti, viwanda, afya na ulinzi. Akizungumza mara baada ya kusaini kwa mikataba hiyo  leo Ikulu Jijini Dar es Salaam, Rais wa Jamhuri...

Kwanini Kipindi cha Orijinal Komedi Hakionyeshwi Kwenye Luninga Siku Hizi? Joti Asema Haya

Kwako mfwatiliaji wa mabingwa wa kuchekesha wanaoishikilia rekodi ya wachekeshaji waliotazamwa sana kwenye TV nchini Tanzania kuanzia time hiyo ya Ze Comedy mpaka Orijino Komedi walivyokuwa wanawafanya watu wawahi TV zao kila Alhamisi jioni. Ni kitambo kidogo hatujawaona Orijino Komedi kwenye TV (TBC 1) na inawezekana maswali tuliyonayo ni mengi lakini hakuna hofu tena maana tumempata Joti na amekubali...
 

Gallery

Popular Posts

About Us