DODOMA: Serikali imetoa nafasi kwa watumishi wanaodhani kuwa wameonewa, baada ya kutajwa kwenye orodha ya watumishi wenye vyeti vya kugushi (feki) waandike barua ya kukata rufaa na kwa katibu mkuu wa wizara ya utumishi kuanzia kesho ili malalamiko yao yashughulikiwe haraka.
Hatua hiyo imefikiwa leo Bungeni baada ya Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela kuomba mwongozo wa spika...
Wednesday, 3 May 2017
Hatimaye Serikali Imesikia Kilio cha Watumishi Waliosingiziwa kuwa na Vyeti Feki
Published Under
KITAIFA
SHARE!
Kifungo cha maisha jela kwa kuchoma nyumba
Published Under
KITAIFA

MKAZI wa kijiji cha Kabita wilayani Busega mkoani Simiyu, Hezroni Mahila (28) amehukumiwa kutumikia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuchoma nyumba na kusababisha hasara ya Sh. 6,000,000.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa Simiyu, John Nkwabi, baada ya mtuhumiwa kukubali kutenda kosa hilo.
Awali kabla ya hukumu hiyo, Mwendesha Mashtaka wa...
SHARE!
MAALIM Seif: Ni afadhali Nikae Meza Moja na CCM Kuliko Kukaa na lipumba.
Published Under
KITAIFA
Maalim Seif katika Mahojiano na Clouds asubuhi hii amesema kuwa hawezi kamwe kukaa meza moja na Profesa Lipumba.
Amesema ni bora akae na CCM kwani anawajua kabisa ni adui lakini si msaliti Lipumba na kusisitiza "Mimi siwezi kukaa na Msaliti"
Akaulizwa kuwa mbona hapo nyuma aliwahi kuwa na uhasama wa wazi kabisa na Sumaye lakini baadaye alikaa naye meza moja UKAWA?
Akasema uhasama wake na Sumaye...
SHARE!
NACY MASOUND -MPENZI - New Official Audio || MP3 DOWNLOAD|| KINGAZI BLOG | Official Sites.
Published Under
AUDIO

Download new official Audio From The Best Upcoming Artist in Tanzania NACY MASOUNDCLICK HE...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)