KINGAZI BLOG: 04/05/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 5 April 2017

Siwezi kuhudhuria harusi ya Flora- Mbasha

"Kama nikipewa mualiko kuhudhuria harusi ya Flora kwa sasa, sitakwenda"  hayo ni maneno ya Mbasha akiwa kweye kipindi cha Kikaangoni cha EATV ambapo alijibu hivo kulingana na maswali aliyokuwa akiulizwa na wafuatiliaji wa kipindi hicho. ...

Hii ni Habari njema kwa watumiaji wa WhatsApp duniani kote

Huduma ya kutuma ujumbe kubwa zaidi duniani, WhatsApp, hivi karibuni itawaruhusu makumi kwa mamilioni ya watumiaji wake kutuma kitu muhimu zaidi ya picha ama video – fedha. WhatsApp inailenga zaidi India, soko lake kubwa zaidi kwa uwezekano wa kuingia katika malipo ya mtandaoni. App hiyo inayomilikiwa na Facebook, inaajiri mkurugenzi wa kuongoza jitihada hizo za malipo ya dijitali katika nchi hiyo...

Tumekuwekea Kisa kizima cha yule binti aliyejitupa Baharini na kuokolewa, ndugu zake wafunguka A-Z . Ni mambo mazito yaliyokuwa yakiendelea.!

KISA cha binti mwenye umri wa miaka 16 (jina linahifadhiwa kutokana na miaka yake) kujitupa baharini akiwa katika boti ya Kilimanjaro V akitoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar juzi, kinaanzia kwenye mawasiliano yake na mvulana mmoja, kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook, imefahamika. Msichana huyo alikuwa akiwasiliana na mvulana huyo ambaye walifahamiana kupitia Facebook, kwa kutumia simu ya mkononi. Nipashe...

MAKONDA AIBUKA TENA , SAFARI HII KAJA NA HILI ZITO LITAKALO WAONDOA WENGI KWENYE NAFASI ZAO.

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amefunguka kuzungumzia namna ambavyo baadhi ya watu walivyotaka kupiga Tsh Bilioni 7 za serikali kwa kutaka kuwalipa watu hewa fidia za kupisha maeneo yao kwajili ya maendeleo ya miradi mbalimbali ya serikali. Aidha RC Makonda ameiagiza TAKUKURU kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua watu ambao wamehusika katika sakata hilo. Akiongea na waandishi wa habari...

JK alitikisa bunge.....Habari katika Magazeti ya leo jumatano tar 5 April.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us