Jamani, ngoma sasa inogile. Prof. leo kakomaa hataki kabisa kuambiwa amesimamishwa uanachama.
Hii safi sana maana maalim anaendesha chama kama mali yake.
Akihojiwa na mtangazaji Spencer Lamerk wa ITV usiku huu, Prof. Ibrahim
Haruna Lipumba amesema kuwa yeye bado ni Mwenyekiti halali wa CUF.
Prof. Lipumba amesema kuwa kufuatia kutengua barua yake ya kujiuzulu
Uenyekiti, aliandika barua kwa...
Tuesday, 30 August 2016
Maghembe apiga marufuku usafirishaji mbao usiku
Published Under
KITAIFA

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe amewataka wafanyabiashara waliopewa vibali vya kuvuna na kuuza bidhaa za misitu hususani mbao, kusafirisha mizigo yao nyakati za mchana ili kuepuka udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wafanyabiasha.
Profesa Maghembe ametoa agizo hilo leo Jijini Dar es Salaam, wakati wa mkutano baina yake na wadau wa masuala ya misitu, mkutano ambao pamoja na...
SHARE!
SERIKALI KUTOA AJIRA MPYA 71, 496 HIVI KARIBUNI
Published Under
KITAIFA

SERIKALI imeanza kuwashughulikia watumishi walionufaika na fedha za watumishi hewa ambapo hadi sasa watumishi 839 wapo katika hatua mbalimbali wakiwemo waliofikishwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na wengine wanaendelea kuhojiwa polisi kwa ajili ya kufikishwa mahakamani.
Sambamba na hilo, serikali inatarajia kutoa ajira mpya 71,496 kwa mwaka huu wa fedha baada ya kukamilisha...
SHARE!
UVCCM WASALIMU AMRI ... WAAHIRISHA MAANDAMANO YAO
Published Under
KITAIFA
Agosti 22, 2016 Umoja wa Vijana wa CCM tuliutangazia umma na dunia kwamba ifikapo Agosti 31 mwaka huu tutaitisha maandamano ya amani nchi nzima yenye lengo la kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dk John Pombe Magufuli kwa utendaji wenye tija, ufanisi na uliorudisha imani na matumaini kwa wananchi.
Msimamo na dhamira ya kufanya maandamano hayo ya amani yenye maudhui...
SHARE!
Waziri Mkuu Akaribisha Wawekezaji Kutoka Japan.
Published Under
KITAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewakaribisha wawekezaji kutoka Japan na kusema kwamba kufanyika kwa Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Bara la Afrika (TICAD VI) jijini Nairobi kumetoa fursa kwa Tanzania na nchi nyingine kukutana na wafanyabiashara wakubwa wenye nia ya kuwekeza barani humo.
Ametoa kauli hiyo Jumapili, Agosti 28, 2016 alipokutana faragha kwa nyakati tofauti...
SHARE!
Lipumba Aendelea Kung'ang'ania Uenyekiti Wake CUF
Published Under
KITAIFA

Katika hali isiyokuwa ya kawaida Prof Lipumba ameendelea Kung’ang’ania kiti cha uenyekiti wa chama chake cha CUF na kusema kikao kilichokaa jana visiwani Zanzibar na kufanya maamuzi ya kuwasimamisha uanachama, hakikuwa halali na kilikuwa nje ya katiba ya CUF, sababu mojawapo ikiwa ni kuwekwa kando kwa Naibu Katibu Mkuu Bara, Magdalena Sakaya.“Kikao hicho hakikuwa halali, haiwezekani Baraza Kuu linakaa...
SHARE!
Taarifa Kwa Umma Kuaribika Kwa Mashine ya MRI Hospitali ya Taifa Muhimbili
Published Under
KITAIFA

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) inapenda kuujulisha umma kwamba mashine ya MRI itasimama kwa muda kufanya kazi baada ya kuharibiika. Mashine hii iliharibiika tarehe 24/08/2016 baada ya kutokea hitilafu ya umeme.
Baada ya kuharibiika, tarehe hiyo (24/08/2016) mafundi wa Philips kwa kushirikiana na mafundi wetu walianza kutafuta athari baada ya kutokea kwa hitilafu ya umeme.
Tarehe 26/08/2016,...
SHARE!
Mchezaji Mpira Avunjiwa Mkataba Baada ya Kugundulika Ana Virusi vya Ukimwi
Published Under
MICHEZO

Zikiwa zimepita siku nne tu tangu asajiliwe na klabu ya Al Ittihad inayoshiki ligi kuu ya Misri, Samuel Nlend, 21, mkataba wake umevunjwa baada ya klabu yake mpya kugundua mchezaji huyo anamaambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU).
Jarid linalojulikana kwa jina la KingFut.com limeripoti kuwa, afisa habari wa klabu hiyo amethibitisha taarifa hiyo ya kusikitisha kwa vyombo vya habari.
Mshambuliaji huyo...
SHARE!
Waliochuma watumishi hewa matatani
Published Under
KITAIFA

SERIKALI imeanza kuwashughulikia watumishi walionufaika na fedha za watumishi hewa ambapo hadi sasa watumishi 839 wapo katika hatua mbalimbali wakiwemo waliofikishwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na wengine wanaendelea kuhojiwa polisi kwa ajili ya kufikishwa mahakamani.
Sambamba na hilo, serikali inatarajia kutoa ajira mpya 71,496 kwa mwaka huu wa fedha baada ya kukamilisha...
SHARE!
MAGAZETI YA LEO JUMANNE YA TAR 30 AUGUST 2016 KWENYE HEADLINES ZA KITAIFA UDAKU, NA MICHEZO.
Published Under
MAGAZETINI LEO
...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)