KINGAZI BLOG: 04/15/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 15 April 2017

Miili Ya Askari 8 Waliouawa Mkoani Pwani Yaagwa Jijini Dar.......Mwigulu Nchemba Atangaza Kiama, IGP Atoa Onyo kwa Wanaoshabikia Mitandaoni

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewatangazia kiama watu wote waliohusika kuwaua askari polisi nane Kibiti wilayani Mkuranga mkoani Pwani. Akizungumza wakati wa kuaga miili ya askari hao jijini Dar es Salaam leo asubuhi Mwigulu alisema watu hao watakamatwa wote na kufikishwa kwenye mkono wa sheria.  "Kitendo hiki cha mauaji kilichofanyika dhidi ya askari wetu hakivumiliki...

Makalio yamenipa ma 'dili' Sanchi.

MODO aliyejaaliwa kuwa na figa matata, Jane Ramoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa, shepu yake inampa madili ya kumuingizia mamilioni ya pesa hivyo kuweza kuyaendesha maisha yake bila presha. Akizungumzia usumbufu anaopata kutoka kwa wanaume wakware kutokana na bambataa alilonalo, Sanchi alisema, hilo la usumbufu wa wanaume kwake wala siyo tatizo ila anachoshukuru ni kwamba figa yake inampatia pesa ndefu. “Unajua...

Mchungaji Getrude Rwakatare ateuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum

...

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Aman Ahukumiwa Kifungo cha cha Miezi 6

Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, imemuhukumu kifungo cha nje cha miezi sita na kulipa faini ya Sh1 milioni, Aman Mwasote baada ya kutiwa hatiani kwa kumwita mtoto wa miaka tisa kuwa mchawi.   Mwasote, ambaye ni mwimbaji wa nyimbo za Injili alishtakiwa kwa kutoa kauli kuwa mtoto huyo huwaloga wanafunzi na walimu alipokuwa kwenye mkutano wa injili.   Hukumu hiyo ilitolewa juzi na Hakimu Mkazi,...

Mke wa Roma Aacha Gumzo Sakata la Mumewe.!

ya madai ya mumewe ambaye ni staa wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ kutekwa na kuteswa kisha kutelekezwa akiwa na wenzake watatu baada ya siku kadhaa, mke wa jamaa huyo aitwaye Nancy ameacha gumzo kufuatia ujasiri aliouonesha katika tukio hilo. Kwa mujibu wa watu wa karibu na familia ya Roma, Nancy ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyezaa na Roma aitwaye Ivan, alionesha ujasiri wa aina...

Jinsi mauaji ya Kutisha ya Polisi nane Yalivofanyika… Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya April 15

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us