KINGAZI BLOG: 09/16/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 16 September 2016

TCU YAONGEZA MUDA WA UDAHILI WA VYUO VIKUU MEAKA 2016/17.

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imeongeza muda wa udahili wa wanafunzi wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu mwaka wa masomo 2016/2017 ili kuwapa fursa  waombaji ambao wana sifa lakini hawakupata vyuo kutokana na ushindani wa vyuo na kozi walizozichagua. Hayo yamesemwa na Kaimu Katibu Mtendaji wa TCU Prof. Eleuther Mwageni alipokuwa akiongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo mzima wa udahili...

NEWS: TAMISEMI YATOA TAMKO HILI KUHUSU AJIRA ZA UALIMU,UHAMISHO NA KUPANDISHA MADARAJA 2015/2016

Hivi karibuni kumezuka tabia za utapeli unaofanywa na wanaojisadikisha kuwa ni watumishi wa Umma au Mawakala wa kusimamia uhamisho wa Watumishi kuhama kutoka Mkoa mmoja kwenda Mkoa mwingine na pia kujihusisha  na kutoa taarifa za uongo kwa   kugushi nembo za Ofisi ya Rais.– TAMISEMI kuhusu ajira, kupandisha madaraja ya walimu.Yamekuwepo Malalamiko mengi kutoka kwa wahanga/waathirika...

MASTAA WALIVYOKARIBISHWA BUNGENI DODOMA LEO KABLA YA KUPIGA SHOW YA TIGO FIESTA LEO

September 16 2016 historia nyingine itaandikwa ndani ya viwanja vya makao makuu ya nchi Dodoma ambapo burudani ya FIESTA 2016 inatarajia kudondoshwa hapo kutoka kwa wasanii mbalimbali wa bongo. Asubuhi ya leo baadhi ya wasanii na wafanyakazi wa Clouds media walipata nafasi ya kutembelea bunge ili kujionea utendaji kazi unavyofanyika na hapa nimekuzogezea picha 13 za mastaa hao kuanzia nje hadi...

Update: Watanzania Wenzetu Waliokuwa Wametekwa huko DRC Congo Wameokolewa

Madereva wa malori kutoka Tanzania waliokuwa wametekwa katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo hatimaye wameokolewa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo. Waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo amezungumza na shirika la utangazaji la BBC na kusema wote wameokolewa   na wako salama Taarifa iliyotolewa jana  na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ilieleza kuwa...

HIZI HAPA NAFASI NA VIGEZO VYA SCHOLARSHIPS ZA OMAN KWA MWAKA 2016/2017

>>>>BOFYA HAPA KUONA VIGEZO NA NAFASI HIZO<<<<...

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI FORM 6 WALIOCHAGULIWA MARIAN UNIVERSITY 2016/2017-FIRST BATCH

<<CLICK HERE TO SEE NAMES BACHELOR FIRST ROUND STUDENTS SELECTED 2016/2017---PDF>>  JOBS/VACANCY--NAFASI ZA KAZI MPYA    IT CERTIFICATE STUDENTS SELECTED 2016/2017     EDUCATION CERTIFICATE STUDENTS SELECTED 2016/2017     DIPLOMA IN EDUCATION STUDENTS SELECTED TO JOIN MARUCO 2016/20...
 

Gallery

Popular Posts

About Us