...
Wednesday, 25 January 2017
Wasomali 90 na Wakenya wawili watimuliwa Marekani
Published Under
KIMATAIFA

Raia takriban 90 wa Somalia na wawili wa Kenya wametimuliwa kutoka Marekani saa chache baada ya taarifa kuibuka kwamba Rais Donald Trump atakabiliana na watu wanaoishi nchini humo kinyume cha sheria.
Wote wamewasili katika uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.
Msemaji wa serikali ya Kenya Eric Kiraithe ameambia BBC kwamba raia hao wa Somalia watasafirishwa moja kwa moja hadi...
SHARE!
Snura Afunguka Jinsi Anavyomtamani Shilole..!!!
Published Under
TOP STORIES

MWANADADA anayetamba na ngoma ya ‘Shindu’ Mwaga Maji Tucheze Kama Kambare, Snura Mushi (pichani) ameeleza kiu yake ya kutaka kufanya kazi na mwanadada mwenzake Zuwena Mohammed ‘Shilole’ endapo atakuwa tayari.
Snura amebainisha hayo usiku wa Jumanne, Januari 24, 2017 wakati akijibu swali kwenye interview ya kipindi cha Redio EFM. Snura amesema kuwa kwa sasa hana bifu kabisa na Shilole,...
SHARE!
Picha na video!!! Rais Magufuli akiendesha basi la mwendokasi leo wakati wa sherehe za ufunguzi wa mradi mpya.
Published Under
KITAIFA

Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli, amesema serikali itajenga barabara za juu tatu za kuchepuka katika eneo la Ubungo ili kuupa maana Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) ulioanzia Jijini Dar es Salaam
google_ad_client = "ca-pub-2816084310730192";
google_ad_slot = "6985427663";
google_ad_width = 336;
google_ad_height = 280;
Amesema lengo ni kuondokana tatizo la...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)