KINGAZI BLOG: 04/29/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 29 April 2017

Scholarships for Tanzania

                                 Study in UK – Engineering International Scholarships 2017Social Sciences International Scholarships 2017Management International Scholarships 2017 in UKArts International Scholarships in UK, 20...

Mtoto wa Mwakyembe Apachikwa Ujauzito

Vitendo vya wanafunzi kupewa mimba vinazidi kuendelea ambapo Leah Mwakyembe (15), mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Ikimba na mkazi wa Kata ya Ikimba wilayani Kyela, Mkoa wa Mbeya, anadaiwa kupewa ujauzito.  Mkuu wa Shule hiyo Zawadi Mpunji, alisema alifuatwa na baba mzazi wa mwanafunzi huyo, Abdalah Mwakyembe, akidai ana hofu kuwa mwanawe ana ujauzito ambapo mikakati...

KIMENUKAA..Rais Magufuli Ayanyooshea Kidole Makampuni ya Simu..Adai Dawa Yao Iko jikoni inachemka!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametahadharisha kuwa, wapo mbioni kuhakikisha mapato ya serikali yanadhibitiwa zaidi ili taifa liweze kujitegemea kikamilifu, huku akionya makampuni ya simu nchini. Rais Magufuli ameyasema hayo Ijumaa hii, mjini Dodoma wakati akikabidhiwa taarifa ya vyeti feki. Rais ameyaonya makampuni hayo, akisema, dawa ya makampuni hayo bado inatengenezwa. “Bado...

Amber Lulu: Hata Kichaa Natembea Naye, Kikubwa..

MODO ‘aliyepinda’ Lulu Auggen ‘Amber Lulu’ amefunguka kuwa, yeye linapokuja suala la kuchagua mwanaume wa kuwa naye kimapenzi wala hachagui, anachoangalia ni kuridhishwa faragha. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Amber Lulu alisema kuwa watu wengi wanadhani ili mwanamke ayafurahie mapenzi lazima awe na mpenzi mwenye mali nyingi au anayemiliki magari ya kifahari wakati kwake yeye ni tofauti. “Mimi...

Mrembo Rayuu Afungukia Kuhusu ndoa yake Kuvunjika

BAADA ya madai kuzagaa kuwa ndoa yake imevunjika, msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ ameibuka na kueleza kuwa madai hayo yametokana na watu waliozoea kuona akimuuzisha sura mumewe mtandaoni lakini ameamua kusitisha tu na siyo kwamba ndoa haipo.  Akipiga stori na chanzo chetu, Rayuu alisema, awali alikuwa anapenda kumuanika mumewe kwenye mitandao ya kijamii lakini kutokana na maneno...

AAAH!! Bashite Mkuu Hayumo..?Serikali Wasema Sifa Yake ni Kujua Kusoma na Kuandika..Habari Vichwa vya Magazeti ya Leo 29/4/2017..!!!

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us