
Sailendra Nath Roy (50) kazaliwa India amefariki dunia wakati akitaka kuweka record ya kuvuka mto kwa kutumia nywere zake amabozo anakuwa amezifunga kwenye waya mdogo ambao unakuwa umefungwa nywele zake. Lakini kwa bahati mbaya alipofika katikati ya mto huo ndipo nywele zilig'ang'ania kwenye waya huo na kujaribu kujinasua lakini ikashindikana.
Roy alianza vizuri
Hapa ndio baada ya nywele za Sailendra...