KINGAZI BLOG: 11/05/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 5 November 2016

PICHAZ+++ JAMAA AFARIKI DUNIA WAKATI AKITAKA KUWEKA RECORD YA KUVUKA MTO KWA KUTUMIA NYWELE ZAKE

Sailendra Nath Roy (50) kazaliwa India amefariki dunia wakati akitaka kuweka record ya kuvuka mto kwa kutumia nywere zake amabozo anakuwa amezifunga kwenye waya mdogo ambao unakuwa umefungwa nywele zake. Lakini kwa bahati mbaya alipofika katikati ya mto huo ndipo nywele zilig'ang'ania kwenye waya huo na kujaribu kujinasua lakini ikashindikana. Roy alianza vizuri Hapa ndio baada ya nywele za Sailendra...

Bodi ya Mikopo Elimu Ya Elimu ya Juu Yaagizwa Kuwapa Wanafunzi Fedha Zao ifikapo Leo

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB), imeagizwa kuhakikisha kuwa fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wanaoendelea na masomo zinapelekwa vyuoni ifikapo leo. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako baada ya wabunge mbalimbali kuomba miongozo kwa Spika kuhusu kuwapo kwa wanafunzi wengi waliokosa mikopo kwa...

ANGALIA PICHA ZA MFUNGWA ALIYE TOBOA UKUTA WA MAGEREZA AKITAKA KUTOROKA NA KUKAMATWA

An overweight inmate who tried to escape a Brazilian jail through a hole smashed through a prison wall had to be rescued by firemen after he got stuck halfway through. 16-stone Rafael Valadao is surrounded by giggling guards after getting stuck in his escape hole Rafael Valadão, the well-built tattooed convict, tried to follow one of his smaller fellow prisoners who had already made a bid for freedom...
 

Gallery

Popular Posts

About Us