KINGAZI BLOG: 02/07/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 7 February 2017

Maamuzi ya Mahakama kuhusu Watuhumiwa wa dawa za kulevya Leo Feb, 7

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imeridhia ombi lililowasilishwa Mahakamani hapo na upande wa Jamuhuri  la kuwakata watuhumiwa 8 wa Dawa za kulevya kuwa chini ya uangalizi kwa kipindi cha miaka 3,huku wakitakiwa kufika katika Kanda maalum ya Dar es Salaam Mara mbili kwa mwezi. Ambapo kwa mujibu wa Hakimu mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo akisoma maamuzi ya Mahakama Huruma Shaibu amesema Mahakama...

Picha 16 : Wema sepetu hakupanda kizimbani leo .TID, Tunda Na Wasanii Wengine Wanaotuhumiwa Kwa Madawa ya Kulevya wafikishwa MahakamaniWema

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Takriban watuhumiwa 10 wa dawa za kulevya ambao ni miongoni mwa watu waliotajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu asubuhi hii. Miongoni mwa waliofikishwa mahakamani sasa ni wasanii Rommy Jones, TID, Babuu wa Kitaa, Petit Man, Tunda (model wa kike), Lulu Diva, Recho, Joan, na...

Mbunge Adai yuko tayari kutaja Wabunge Wanaouza Madawa ya Kulevya

Kuanzia wiki iliyopita, vita dhidi ya Madawa ya kulevya iliyoibuliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, inazidi kuchukua sura mpya kila kukicha huku wengine wakitega masikio kwenye vyombo vya habari kutaka kujua kitu gani kinaendelea huko Mahakamani. Vita hiyo juu ya madawa ya kulevya imefika mpaka bungeni na baadhi ya wabunge walikuwa wakitoa hoja mbalimbali huko mjini Dodoma.  Mbunge...

Ray Vanny kuja na ngoma aliyomshirikisha Diamond

Good News kwenye muziki wa Bongo Fleva wiki iliyopita ni Ishu ya watanzania Diamond Platnumz,Alikiba na Navy Kenzo kushinda tuzo za Hipipo Music Awards huko Uganda. Moja ya tuzo alizoshinda Diamond ni tuzo ya Video bora East Africa kupitia video ya Salome aliyomshirikisha msanii wa label yake, Ray Vanny. Good News kwenye muziki wa Bongo Fleva wiki iliyopita ni Ishu ya watanzania Diamond Platnumz,Alikiba...

Video! Hii hapa kauli ya Rais Magufuli kuhusu madawa ya kulevya

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli jana wakati akitoa hotuba yake baada ya kumaliza zoezi zima la kumuapisha Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama,  Aligusia masuala kadhaa likiwemo suala la madawa ya kulevya na wahusika wake.  Rais alisema Serikali na vyombo vyote vya dola vinatakiwa kupambana na suala hili na kukamata yeyote anayehusika na uuzaji ana usambazaji ana utumiaji wa madawa ya kulevya hapa nchini bila kuangalia umaaraufu alionao mhusika, cheo chake, mtoto wa fuklani N.K  ZAIDI HEBU TAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI                ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us