KINGAZI BLOG: 12/20/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Tuesday, 20 December 2016

Alichokisema mmiliki wa Jamii Forums baada ya kupata dhamana leo

Leo December 19, 2016 kutoka Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu, Dar es salaam, mwanzilishi wa mtandao wa kijamii wa JAMII FORUMS Maxence Melo ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa kwa zaidi ya siku 5 ambapo baada ya kupata dhamana hiyo Max ameyaongea yafuatayo. “Nawashukuru mawakili wangu najua wamekuja kwasababu ya kutetea uhuru wa vyombo vya habari, jukumu hili sio la Max peke yake ni jukumu...

Wanaume wafanyiwa Tohara hadharani maeneo ya shule

Walimu wa shule ya Msingi Nyakabungo jijini Mwanza wameiomba serikali kuingilia kati swala la ufanyaji wa tohara katika maeneo ya viwanja vya shule jambo ambalo limeonyesha kuwa kero . Akizungumzia tukio hilo Mwl. Patrick Kamugisha amesema ameshangazwa sana kuona tohara ikifanyika hadharani na si kama mikoa mingine ambayo hufanya matukio hayo katika maeneo yaliyojificha na kwa usiri mkubwa. Pia...

Baba Mzazi Wa Ben Saanane Kukagua Maiti Iliyowekwa Kwenye Kiroba

Wakati polisi wakisema kuwa wanaufanyia mchakato wa vipimo vya vinasaba (DNA), mwili wa mtu anayedaiwa kuuawa nje kidogo ya mji wa Moshi na kuwekwa kwenye kiroba na kuchomwa moto, familia ya Ben Saanane, msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ambaye hajulikani aliko imesema inaenda kuuangalia mwili huo.  Hatua hiyo ya polisi kupima DNA ilielezwa na Kamanda wa Polisi Mkoa Kilimanjaro,...
 

Gallery

Popular Posts

About Us