KINGAZI BLOG: 09/07/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Wednesday, 7 September 2016

Hivi Ndivyo Nilivyofanikiwa Kujiajiri Baada ya Kumaliza Chuo Kikuu

Kwenye kitabu kimoja nilichowahi kusoma, kuna habari ya jeshi lilokwenda vitani. Baada ya wanajeshi wote kuvuka daraja kuwaelekea maadui jemedari mkuu akaamua kuchoma moto lile daraja, magari na kila kitu ambacho kingewawezesha kukimbia ikiwa vita ingewaelemea.  Kisha akawageukia wanajeshi wake akawaambia, "Chagueni kushinda vita ama kufa kwa sababu kukimbia ama kurudi nyuma haiwezekani tena"....

Aliyefanyiwa upandikizaji wa kwanza wa uso afariki

Madaktari nchini Ufaransa wamefichua kwamba mwanamke aliyefanyiwa upasuaji wa kwanza wa upandikizaji wa sura alifariki mapema mwaka huu. Hospitali moja imesema kuwa Isabelle Dinoire alifariki baada ya matatizo yanayohusishwa na upasuaji huo . Alifanyiwa upasuaji huo uliochukua saa 15 mwaka 2005 baada ya kujeruhiwa na mbwa. Madaktari waliutengeza mdomo wake,pua na taya katika upasuaji huo wa kwanza...

Afikishwa Mahakamani kwa Kumtisha Rais Magufuli Kupitia Mtandao wa Watsapp

Mfanyabiasha  Leonard Materu (31) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kutuma ujumbe wa kumtishia Rais John Magufuli kupitia mtandao wa WhatsApp. Materu ambaye ni mkazi wa Moshi Bar Kwadiwani, alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka yake na Wakili wa Serikali, Diana Lukondo mbele ya Hakimu Mkazi Magreth Bankika. Akisoma mashitaka...

Mtindo wa kutambulisha wageni bungeni ‘kupigwa stop’

BUNGE linakusudia kuachana na mtindo wa kutambulisha wageni baada ya kipindi cha maswali na majibu kuanzia mkutano ujao wa Bunge isipokuwa kwa wageni wa kimataifa, lengo likiwa kuokoa muda wa shughuli za chombo hicho cha kutunga sheria nchini. Hayo yalisemwa bungeni mjini hapa na Spika wa Bunge, Job Ndugai aliyeliongoza Bunge hilo kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa ya kuwa nje ya nchi alikokwenda kwa matibabu. Alisema hayo baada ya kuongoza kipindi cha maswali na majibu na kusisitiza hayo yametokana na mapendekezo ya Kamati ya Uongozi ya Bunge. “Kuanzia Bunge lijalo hatutambulisha wageni, labda wale wa kimataifa kwa...

MAGAZETI YA LEO JUMATANO,SEPT 07,2016 KWENYE HEADLINES ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO NA BURUDANI.

  Karibu , Tunakuletea baadhi ya habari zilizopewa uzito kwenye magazeti ya leo jumatano ...

WATAHINIWA 795,761 KUFANYA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI LEO NA KESHO TANZANIA

WATAHINIWA 795,761 wanatarajia kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) unaofanyika leo na kesho nchini kote. Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk Charles Msonde alisema wanafunzi 372,883 ambao ni sawa na asilimia 46.86 ni wavulana na wasichana ni 422,878 ambao ni asilimia 53.14. Mwaka 2015 watahiniwa waliosajiliwa kufanya...
 

Gallery

Popular Posts

About Us