KINGAZI BLOG: 03/04/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Saturday, 4 March 2017

Mashoga wakamatwa zanzibari ....na hichi ndicho kilichowakuta..

Mashoga Zanzibar Wakiona cha Moto,Haya Ndiyo Yaliyowakuta Baada ya Kukamatwa!! POLISI visiwani Zanzibar imewakamata wanaume 16 wanaodaiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja, katika operesheni maalum inayoendelea kwenye mkoa wa Mjini Magharibi. Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa mkoa huo, Ayoub Mohammed, alisema mashoga hao waliokamatwa walipelekwa hospitali kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa...

Jaji atumia dakika 22 kumtoa lema jela....pitia  Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya March 4

...

Hiki Ndio Chanzo Cha Kupungua Ukubwa Wa Uume Na Matibabu Yake

kupigwa na baridi au kuoga maji ya baridi husababisha uume kuaenekana mdogo na baridi ikiondoka uume hurudi kua vilevile, hii ni kawaida kwa wanume wote duniani lakini kuna baadhi ya mambo yanatokea kwa mwanume au ambayo mwanaume mwenyewe anayafanya yanaweza kumpunguzia ukubwa wa uume na kua mdogo na usirudi katika hali yake ya zamani. Je ukubwa wa uume kwa kawaida ukoje? kwa hali ya kawaida uume...

Baada ya kuachiwa huru Godbless Lema azungumza haya likiwemo hili " Mwanangu alikuwa ananiuliza baba nifanye kosa gani ili nije tuishi wote gerezani

Baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kumuachia kwa dhamana Mbunge wa Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Godbless Lema ambaye amesota gerezani kwa zaidi ya miezi minne, amefunguka kwa mara ya kwanza kuwashukuru wale waliompigania huku akieleza stori ya kusisimua kuhusu mtoto wake. Lema amedai anaenda kumuona mwanaye ambaye alitaka kufikia uwamuzi wa kutaka kufanya kosa ili na yeye aingie gerezani kukaa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us