
Mashoga Zanzibar Wakiona cha Moto,Haya Ndiyo Yaliyowakuta Baada ya Kukamatwa!!
POLISI visiwani Zanzibar imewakamata wanaume 16 wanaodaiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja, katika operesheni maalum inayoendelea kwenye mkoa wa Mjini Magharibi.
Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa mkoa huo, Ayoub Mohammed, alisema mashoga hao waliokamatwa walipelekwa hospitali kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa...