KINGAZI BLOG: 05/12/17

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 12 May 2017

IMEBAINIKA..Kumbe Robert Mugabe Huwa Halali Bali Hupumzisha Macho tuu

Msemaji wa Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kiongozi huyo huwa anapumzisha macho tu na si kulala wakati wa mikutano kama wanavyoamini watu wengi.Kiongozi huyo amekuwa akionekana kusinzia katika mikutano mingi."Rais huwa anasumbuliwa na mwanga mkali," George Charamba amenukuliwa akisema na gazeti la serikali la Herald.Rais huyo kwa sasa yupo nchini Singapore akipokea matibabu maalum kwenye...

Ofisi ya Rais yakanusha taarifa inayosambazwa mitandaoni kuhusu vigezo vya utoaji ajira

...

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amefariki dunia leo saa nne asubuhi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Mdogo wa marehemu, Shaibu Mwambungu amesema kaka yake alifariki dunia leo asubuhi baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa hospitalini hapo. Shaib amesema taratibu za mazishi zitatolewa baadaye ambapo kwa sasa anajiandaa kusafiri kutoka Songea kuja jijini Dar es...

TUHUMA za Mateso Dhidi ya Wafanyakazi wa Ndani Oman, Mtanzania Afunguka Makubwa

Wafanyakazi wa majumbani walioko Oman wanatoka kila mahala duniani. Wafilipino peke yao ni wengi mara nyingi sana kuliko Watanzania na huwasikii ila wachache sana kulalamika. Lakini idadi ya walalamikaji kutoka Tanzania ndiyo iliyo kubwa kabisa ingawa jumla yao ni ndogo sana Oman. Wapendwa waungwana na wapenda ukweli. Siku hizi za karibuni kumekuwako na upotoshwaji mkubwa wa habari za wafanyakazi...

WANAOSHANGAA Tanzania Kuomba Afrika Kusini Msaada Huenda Wakawa Hawajui Haya

Sasa mnashangaa nini Tanzania kuomba Afrika ya Kusini. Hivi mmesahau jinsi tulivyowasaidia hawa tena buree. Tuliwapa ofisi. Tulwalipa mishahara. Tukatoa jeshi letu kuwafundisha mapigano. Tuliwapa silaha za kivita , magari ,vifaru. Walikula ng'ombe wetu na kuku wetu. Wakaoa na kuzaa na dada zetu. Kiufupi Uhuru wao tumeutengeneza sisi Tanzania. Tulitoa fedha za Watanzania kwa ajili ya ukombozi wa...

Rufaa Dhidi Ya Mbunge Wa Bunda Mjini Ester Bulaya Yafika Mahakama Ya Rufaa Jijiji Dares Salaam

Aliyekuwa  kuwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Steven  Wassira  akiwa katika jengo la Mahakama ya Rufaa jijiji Dares Salaam akizungumza jambo na baadhi ya mawakili kabla ya kusikiliza kwa Rufaa ya kesi yake dhidi ya Mbunge wa Bunda mjini Ester Bulaya.  Katika kesi hiyo jopo la majaji watatu  wa Mahakama ya Rufaa limepanga kuendelea na kesi hiyo Jumatatu ijayo ya Aprili...

WANAOSHANGAA Tanzania Kuomba Afrika Kusini Msaada Huenda Wakawa Hawajui Haya

Sasa mnashangaa nini Tanzania kuomba Afrika ya Kusini. Hivi mmesahau jinsi tulivyowasaidia hawa tena buree. Tuliwapa ofisi. Tulwalipa mishahara. Tukatoa jeshi letu kuwafundisha mapigano. Tuliwapa silaha za kivita , magari ,vifaru. Walikula ng'ombe wetu na kuku wetu. Wakaoa na kuzaa na dada zetu. Kiufupi Uhuru wao tumeutengeneza sisi Tanzania. Tulitoa fedha za Watanzania kwa ajili ya ukombozi wa...

TUHUMA za Mateso Dhidi ya Wafanyakazi wa Ndani Oman, Mtanzania Afunguka Makubwa

Wafanyakazi wa majumbani walioko Oman wanatoka kila mahala duniani. Wafilipino peke yao ni wengi mara nyingi sana kuliko Watanzania na huwasikii ila wachache sana kulalamika. Lakini idadi ya walalamikaji kutoka Tanzania ndiyo iliyo kubwa kabisa ingawa jumla yao ni ndogo sana Oman. Wapendwa waungwana na wapenda ukweli. Siku hizi za karibuni kumekuwako na upotoshwaji mkubwa wa habari za wafanyakazi...

Mvua Sababisha Maporomoko ya Mawe Tanga..Barabara ya Dar Arusha Yafungwa

Jeshi la Polisi mkoani Tanga imefunga barabara ya kutokea Dar es salaam kuelekea Arusha kufuatia eneo la Mombo mkoani Tanga kuangukiwa na maporomoko ya mawe pamoja na matope na kusababisha athari kwa baadhi ya magari Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoani humo Benedict Wakuyamba  amesema, maporomoko hayo yamesababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani humo na maeneo...
 

Gallery

Popular Posts

About Us