KINGAZI BLOG: 09/09/16

HABARI KARIBU YAKO ZAIDI.

Breaking News
Loading...

Friday, 9 September 2016

Picha 17: JAMAA ANAYEDAIWA KUFANYA MAPENZI NA WAKE ZA WATU KICHAWI SHINYANGA AKAMATWA,ASHUSHIWA KIPIGO

Wananchi wenye hasira kali katika kijiji cha Bugayambele kata ya Kizumbi katika manispaa ya Shinyanga wamemshushia kichapo jamaa anayedaiwa kuwaingilia wanawake nyakati za usiku kisha kufanya nao mapenzi kwa njia za kishirikina.  Tukio hilo limetokea leo majira ya saa kumi jioni ambapo wakazi wa kitongoji cha Bugayambelele jirani na kijiji cha Nhelegani kilichokumbwa na taharuki ya kuwepo...

YALIYOJIRI KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

Waziri wa Habari, Utaamduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (MB) akiwaeleza jambo Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa (Katikati)na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. George Simbachawene wakati wa kikao cha bunge leo Mjini Dodoma. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha bunge leo Mjini Dodoma. Naibu Waziri Wizara ya...

Mambo 10 Ambayo Mwanaume Hupenda Kusikia Toka Kwa Mpenzi Wake

10. Kukosolewa – “I think you are wrong” Wanaume wanaweza kujikweza sana lakini daima hawachukii kurekebishwa. Wanachojali zaidi ni jinsi gani au njia gani imetumika kuwarekebisha. Mwanaume akikosea, anataka mpenzi wake amkosea lakini kwa mapenzi, sio kwa mikwaruzano au dharau au mbele ya kadamnasi. Mrekebishe au mkemee faragha, toa maoni yako na wala usimlazimishe, itamfanya aone unajali na unataka...

Aje ya Alikiba yapata shavu MTN

Wimbo wa Aje wa Alikiba umepata shavu kwenye mtandao wa simu wa MTN wa nchini Nigeria. Aje umekuwa miongoni kati ya nyimbo zinazopatikana kwenye mtandao huo ambao wananchi wanaweza kuuchagua wimbo huo kuwa kama muito kwenye simu zao. Hatua hiyo itamwezesha staa huyo kuendelea kuingiza mkwanja kulingana na mikataba yake aliyosaini ikiwemo ule wa Sony Music aliosaini mwezi Mei mwaka hu...

Msafara wa Makamu wa Rais Wapata Ajali Mtwara

WATU wanne wajeruhiwa leo baada ya gari moja lililokuwa kwenye msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Samia Hassan Suluhu kutoka Mtwara kwenda wilayani Tandahimba kuanguka maeneo ya Nanguruwe mkoani hum...

Operesheni Dadapoa, Kakapoa Dar es Salaam Yashika Kasi

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema linafanya operesheni ya kuwakamata wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanaofanya biashara kinyume cha sheria. Taarifa iliyotolewa na Kamishna wa Kanda hiyo, Simon Sirro, ilisema wamebaini baadhi ya nyumba za kulala wageni zinatumika kuhifadhi magenge ya majambazi na wahalifu wengine. Alisema nyumba hizo zimekuwa zikitumiwa na wanawake na wanaume...

CHECK PICHA JACKLINE WOLPER NA HARMONIZE WAKILA BATA PAMOJA LIVE  

        ...

MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPT 92016

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us